Tag: udukuzi
- by adminleo
- December 3rd, 2019
Serikali kudukua simu za wanahabari wanaoikosoa
NA MWANDISHI WETU JE, una mazoea ya kutumia simu kukashifu serikali, kufichua maovu na kutuma jumbe za kibinafsi ukidhani ni siri...
- by adminleo
- June 3rd, 2019
Tovuti 18 za serikali zadukuliwa
BONFACE OTIENO na FAUSTINE NGILA TOVUTI kadha za mashirika ya kiserikali Jumatatu zilidukuliwa na kundi la wahuni wa mitandaoni...
- by adminleo
- May 9th, 2019
Sh150m zawekezwa kuzima wadukuzi mitandaoni
Na BERNARDINE MUTANU Kutokana na ongezeko la uvamizi wa mitaliga (virusi), udukuzi, wizi wa hela na data ya siri mitandaoni humu nchini...
- by adminleo
- April 21st, 2019
Neno-siri linalotumika zaidi duniani ni ‘Liverpool’ na ‘123456’ – Utafiti
Na Mashirika MAMILIONI ya watumiaji wa mitandao ya kijamii hutumia neno ‘Liverpool’ au nambari ‘123456’ kama neno lao la siri...
- by adminleo
- April 2nd, 2019
Akana kudukua akaunti za benki na kuiba Sh12 milioni
Na RICHARD MUNGUTI MSHUKIWA wa udukuzi wa akaunti za benki alishtakiwa Jumanne kwa kufanya njama za kuibia benki ya Chase zaidi ya Sh12...
- by adminleo
- February 16th, 2019
Mdukuzi ashtakiwa kuiba mamilioni ya serikali
Na RICHARD MUNGUTI MWANAUME mwenye umri wa miaka 23 alishtakiwa Ijumaa kwa kufanya njama za udukuzi na kuibia benki ya inayofadhiliwa na...
- by adminleo
- January 31st, 2019
Wadukuzi wezi wa benki 130 wasakwa Kenya
Na PETER MBURU IDARA ya DCI Jumatano ilichapisha majina ya watu 130 ambao wanawindwa na polisi, kwa makosa ya kudukua mitambo ya...
- by adminleo
- January 31st, 2019
Mfanyakazi adukua mitambo ya serikali ya Museveni na kuhepa na data ya siri
DAILY MONITOR Na PETER MBURU MADAI yameibuka kuwa mtu aliyedukua mitambo ya Wizara ya Leba nchini Uganda na kuiba taarifa za siri zenye...
- by adminleo
- October 23rd, 2018
KRA yalemewa na Google kortini kuhusu udukuzi wa mitambo
Na BERNARDINE MUTANU Mamlaka ya Ukusanyaji wa Ushuru (KRA) imepoteza kesi dhidi ya Google, kuitaka kampuni hiyo kufichua mtu aliyedukua...
- by adminleo
- March 27th, 2018
Raila aapa kushtaki Facebook na Cambridge Analytica kwa ‘ushetani’ zilizomfanyia uchaguzini
Na WYCLIFFE MUIA KINARA wa upinzani Raila Odinga Jumanne alisema ataushtaki mtandao wa Facebook pamoja na kampuni ya Cambridge Analytica...
- by adminleo
- March 22nd, 2018
Facebook yashtakiwa huku thamani yake ikishuka kwa kuruhusu Cambridge Analytica kudukua akaunti
Na REUTERS na CHARLES WASONGA FACEBOOK na kampuni ya kutoa ushauri wa kisiasa ya Cambridge Analytica zimeshtakiwa nchini Amerika kwa kutoa...
- by adminleo
- March 21st, 2018
Jubilee yakiri Cambridge Analytica iliwasaidia uchaguzini 2017
Na WAANDISHI WETU CHAMA cha Jubilee kimekiri kusaidiwa na kampuni ya Strategic Communications Laboratory (SCL) inayohusishwa na...