Tag: ufisadi
- by adminleo
- June 16th, 2020
Mamaye Judy Wakhungu akamatwe – Mahakama
Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA ya Kuamua Kesi za Ufisadi Jumanne imeamuru mama ya aliyekuwa Waziri wa Mazingira Judy Wakhungu anayeshtakiwa...
- by adminleo
- June 15th, 2020
Maafisa watatu wanaswa kwa ufisadi Kaunti ya Samburu
NA WAWERU WAIRIMU Maafisa wa upelelezi wa kukabiliana na ufisadi walikamata maafisa watatu wakuu wa kaunti ya Samburu kwa kutenga Sh8...
- by adminleo
- June 8th, 2020
Mkurugenzi wa kampuni ya kuuza vipande vya ardhi ashtakiwa kwa ulaghai wa Sh4.5 milioni
Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa kampuni moja ya kuuza vipande vya ardhi katika Kaunti ya Kiambu ameshtakiwa kwa kupokea kwa njia ya...
- by adminleo
- March 4th, 2020
UFISADI: Waandamanaji Kisumu watisha kufunga ofisi za EACC
Na BRENDA AWUOR BAADHI ya wakazi wa Kaunti ya Kisumu wametisha kufunga ofisi za Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC)...
- by adminleo
- February 18th, 2020
Utapeli ofisi kuu
Na VALENTINE OBARA KASHFA ya utapeli inayogusa afisi ya Naibu Rais William Ruto, inaendeleza mtindo wa watu mashuhuri na ofisi kuu...
- by adminleo
- February 16th, 2020
Kanisa la ACK kupokea sadaka kwa M-Pesa kuzima ufisadi
Na KNA ASKOFU Mkuu wa Kanisa Anglikana (ACK) Jackson ole Sapit, amefichua mipango ya kanisa hilo kuanza kupokea sadaka kwa njia ya simu...
- by adminleo
- February 15th, 2020
Raila akemea ufisadi kanisani
CAROLINE WAFULA NA DICKENS WASONGA KIONGOZI wa chama cha ODM, Bw Raila Odinga, Ijumaa alikemea vikali viongozi wanaotumia pesa...
- by adminleo
- January 23rd, 2020
Pesa zinazomwagwa wakati wa kampeni zaiponza Kenya
Na MARY WANGARI KENYA imerudi nyuma kwa alama moja kuhusiana na vita dhidi ya ufisadi ambapo imeorodheshwa nambari 137 miongoni mwa...
- by adminleo
- January 16th, 2020
EU yamuunga mkono Rais wafisadi waadhibiwe vikali
Na VALENTINE OBARA MUUNGANO wa Ulaya (EU) umeunga mkono wito wa Rais Uhuru Kenyatta kutaka washukiwa wa ufisadi walioshtakiwa,...
- by adminleo
- January 3rd, 2020
Umma unateseka sababu ya ufisadi – Wetang’ula
Na GAITANO PESSA SENETA wa Bungoma Moses Wetang'ula amewakashifu baadhi ya magavana kuhusu ufisadi katika kaunti zao, akisema...
- by adminleo
- January 1st, 2020
KUMBUKUMBU 2019: Magavana watatu waanza mwaka mpya wakiwa nje ya ofisi
Na RICHARD MUNGUTI MAGAVANA watatu wanauanza mwaka huu wakiwa hawawezi kukanyanga afisini kutokana na kesi za ufisadi wa mamia ya...
- by adminleo
- December 18th, 2019
WANDERI: Rais binafsi ajipe jukumu la kuzima ufisadi
Na WANDERI KAMAU AGIZO la Rais Uhuru Kenyatta kuwa maafisa wa serikali hawapaswi kujiingiza katika biashara ama utoaji huduma...