• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 8:50 AM

Kocha Hansi Flick aweka historia Ujerumani wakiponda Liechtenstein bila huruma

Na MASHIRIKA HANSI Flick aliweka historia kwa kuwa kocha wa kwanza kuongoza timu ya taifa ya Ujerumani kushinda mechi sita za kwanza...

Wanasoka wa Chelsea na Bayern Munich wabeba Ujerumani dhidi ya Iceland

Na MASHIRIKA WANASOKA wawili wa Chelsea – Antonio Rudiger na Timo Werner – walifunga mabao mawili yaliyosaidia Ujerumani kuponda...

Ujerumani wakomoa Armenia 6-0 na kutua kileleni mwa Kundi J kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2022

Na MASHIRIKA BAADA ya kuwakomoa Liechtenstein 2-0 mnamo Septemba 2, 2021, Ujerumani waliendeleza ubabe wao dhidi ya Armenia kwa kupokeza...

Kivumbi na patashika Uingereza ikitifuana leo na Ujerumani katika hatua ya 16-bora kwenye Euro

Na MASHIRIKA UINGEREZA watajaribu leo kuangusha Ujerumani kwa mara ya kwanza katika hatua ya mwondoano wa kipute cha haiba kubwa kwenye...

Ujerumani watoka nyuma na kupepeta Ureno 4-2 kwenye gozi kali la Euro

Na MASHIRIKA UJERUMANI walitoka nyuma na kuwapokeza Ureno ambao ni mabingwa watetezi wa Euro kichapo cha 4-2 katika mechi ya Kundi F...

Ujerumani yakomoa Iceland 3-0

Na MASHIRIKA KAI Havertz na Ilkay Gundogan walifunga bao kila mmoja na kusaidia Ujerumani kuanza vyema kampeni zao za kufuzu kwa fainali...

Kocha Joachim Loew aponea shoka katika timu ya taifa ya Ujerumani

Na MASHIRIKA KOCHA wa timu ya taifa ya Ujerumani, Joachim Loew ataendelea kudhibiti mikoba ya kikosi hicho na atasimamia kampeni...

Ujerumani wala sare ya tatu mfululizo chini ya kocha Joachim Loew

Na MASHIRIKA UTURUKI walifunga bao la kusawazisha mwishoni mwa kipindi cha pili na kuwalazimishia mabingwa wa dunia wa 2014 sare ya 3-3...

Ujerumani yaifaa Kenya vituo viwili vya maabara tamba kupima Covid-19

Na SAMMY WAWERU KENYA imepokea msaada wa vituo viwili vya maabara tamba kupima Covid-19 kutoka kwa Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani...

Miroslav Klose ateuliwa kocha msaidizi wa Bayern Munich

Na CHRIS ADUNGO MFUNGAJI bora wa muda wote katika timu ya taifa ya Ujerumani, Miroslav Klose, ameteuliwa kuwa kocha msaidizi wa kikosi...

CORONA: Waziri wa Fedha Ujerumani ajiua

MASHIRIKA NA FAUSTINE NGILA WAZIRI wa mmoja nchini Ujerumani amejiua baada ya kuelezea kulemewa kupata mikakakati ya kufufua uchumi wa...

Ujerumani yalaza Uholanzi mechi ya kufuzu Euro

Na MASHIRIKA ARMSTERDAM, UHOLANZI KOCHA Ronald Koeman wa Uholanzi amesema anajutia kutofanyia kikosi chake mabadiliko muhimu mwishoni mwa...