• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 5:54 PM

Unga waanza kuuzwa Sh100 jijini Nairobi

NA CHARLES WASONGA SIKU moja baada ya Rais Uhuru Kenyatta kutangaza kuwa serikali imetoa ruzuku kuchochea bei ya unga kupungua hadi...

Viongozi kukongamana kwa mkutano wa UNGA

Na AFP NEW YORK, Amerika VIONGOZI wa ulimwengu wiki hii watakongamana katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa (UN) jijini New York,...

Uhuru kuhutubia mkutano wa UNGA Jumanne kupitia mtandao

Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta atahudhuria na kuhutubia Kongamano Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA) kwa njia ya mtandao kutoka...

Bei ya unga kushuka

Na CHARLES WASONGA NI rasmi sasa kwamba bei ya unga wa mahindi na ngano itashuka na hivyo kuwanusuru Wakenya kutokana na makali ya...

Misongamano mipakani kupandisha bei ya unga

BARNABAS BII na ONYANGO K'ONYANGO WASAGAJI mahindi nchini wamelalamikia upungufu wa mahindi kutokana na jinsi malori yalivyokwama katika...

Afueni kwa wakulima ujenzi wa kiwanda cha unga ukikamilika

ONYANGO K'ONYANGO na BARNABAS BII WAKULIMA wa mahindi katika eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa wanatarajiwa kupata afueni kufuatia...

Bei ya unga kushuka mahindi ya Mexico yakifika

Na PAULINE KAIRU BEI ya unga wa mahindi inatarajiwa kushuka baada ya chama cha kampuni za kusaga unga kusema kuwa mahindi yaliyoagizwa...

Kampuni ya Broadway yatoa msaada wa unga na pesa

Na LAWRENCE ONGARO KAMPUNI ya Broadway Group of Companies (Bakex Millers) imetoa mchango wa Sh12.5 milioni na mifuko kiasi cha beli...

Bei ya unga wa mahindi yapanda

Na SAMMY WAWERU WALAJI wa ugali hawana budi ila kuugharimia zaidi kufuatia mfumkobei wa bidhaa muhimu ambayo ni unga wa...

Serikali yapiga marufuku aina 17 za unga wa mahindi

Na DIANA MUTHEU SERIKALI imepiga marufuku aina 17 za unga wa mahindi ikisema ni hatari kwa afya ya binadamu. Shirika la Ubora wa...

AFLATOXIN: Amri wauzaji waondoe unga hatari madukani

Na PIUS MAUNDU SERIKALI ya Kaunti ya Makueni imechukua hatua kuzuia wakazi kula vyakula vilivyopikwa kwa unga wa mahindi zilizopigwa...

Hasara unga wa Dola kupigwa marufuku

NA MISHI GONGO Ziadi ya malori 40 ya mahindi kutoka nchi ya Uganda na Tanzania yameegeshwa nje ya lango la ghala la kampuni ya kutengeza...