• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 4:31 PM

Majeshi ya Putin sasa yabisha Kyiv

NA AFP KYIV, UKRAINE VIKOSI vya Urusi jana Jumamosi vilirikaribia jiji kuu la Ukraine, Kyiv, huku mashambulio yake yakiyalenga makazi...

Putin asababishia Wakenya kero kuu

NA CHARLES WASONGA RAIS Vladimir Putin wa Urusi amevuruga uchumi wa Wakenya kwa kushambulia jirani yake Ukraine siku 14...

Kikao cha Urusi, Ukraine chakosa kuzaa matunda

NA XINHUA KIEV, Ukraine MAZUNGUMZO ya awamu ya tatu na yanayolenga kusitisha operesheni ya kijeshi inayofanywa na Urusi nchini...

Canada yazima ndege za Urusi katika anga yake

Na AFP OTTAWA, Canada CANADA imezuia ndege zote za Urusi kutumia anga yake kama hatua ya kuonyesha kukerwa na hatua ya nchi hiyo...

Waziri Mkuu na mawaziri wote wa Urusi wajiuzulu

CHARLES WASONGA na MASHIRIKA MOSCOW, Urusi SERIKALI zima la Urusi Jumatano imejiuzulu baada ya Rais Vladimir Putin kupendekeza...

WANDERI: Afrika itahadhari kuhusu nia halisi ya Urusi

Na WANDERI KAMAU BAADA ya Rais Uhuru Kenyatta kujiunga na viongozi wengine wa Afrika majuma mawili yaliyopita nchini Urusi kwa kongamano...

Ripoti yaonyesha wabunge walitumia Sh25 milioni kujifurahisha Urusi

NA PETER MBURU Wabunge waliosafiri hadi Russia kushuhudia mashindano ya kandanda ya Kombe la Dunia  nchini Urusi wamewasilisha ripoti...

Spika aitisha ripoti ya wabunge waliozuru Urusi kutazama Kombe la Dunia

Na DAVID MWERE SPIKA wa bunge la taifa, Bw Justin Muturi, amewataka wabunge waliotumia pesa za umma kwenda Urusi kutazama Kombe la Dunia...

KURGAT: Serikali yalenga kumzima kwa kuwa ‘aliiba mamilioni Urusi’

Na CHARLES WASONGA WIZARA ya Mashauri ya Kigeni imeitaka Tume huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kutomlipa aliyekuwa kamishna wake, Paul...

Trump akiri Urusi iliingilia uchaguzi wa Amerika 2016

Na AFP WASHINGTON, AMERIKA RAIS Donald Trump, alikiri Jumanne kwamba Urusi na ‘nchi nyingine’ ziliingilia uchaguzi wa urais...

Raia wa Urusi aliyejitapa hatumii pufya afeli vipimo kwenye Olimpiki

Na GEOFFREY ANENE MWANAMICHEZO Nadezhda Sergeeva aliyejigamba hatumii dawa za kusisimua misuli amefeli vipimo vya matumizi ya dawa hizo...

Marwa kusimamia Kombe la Dunia Urusi

  [caption id="attachment_1542" align="aligncenter" width="800"] Refa bora wa mwaka 2017 wa kunyanyua kibendera nchini Aden Range...