Tag: urusi
- by T L
- March 13th, 2022
Majeshi ya Putin sasa yabisha Kyiv
NA AFP KYIV, UKRAINE VIKOSI vya Urusi jana Jumamosi vilirikaribia jiji kuu la Ukraine, Kyiv, huku mashambulio yake yakiyalenga makazi...
- by T L
- March 9th, 2022
Putin asababishia Wakenya kero kuu
NA CHARLES WASONGA RAIS Vladimir Putin wa Urusi amevuruga uchumi wa Wakenya kwa kushambulia jirani yake Ukraine siku 14...
- by T L
- March 9th, 2022
Kikao cha Urusi, Ukraine chakosa kuzaa matunda
NA XINHUA KIEV, Ukraine MAZUNGUMZO ya awamu ya tatu na yanayolenga kusitisha operesheni ya kijeshi inayofanywa na Urusi nchini...
- by T L
- February 27th, 2022
Canada yazima ndege za Urusi katika anga yake
Na AFP OTTAWA, Canada CANADA imezuia ndege zote za Urusi kutumia anga yake kama hatua ya kuonyesha kukerwa na hatua ya nchi hiyo...
- by adminleo
- January 15th, 2020
Waziri Mkuu na mawaziri wote wa Urusi wajiuzulu
CHARLES WASONGA na MASHIRIKA MOSCOW, Urusi SERIKALI zima la Urusi Jumatano imejiuzulu baada ya Rais Vladimir Putin kupendekeza...
- by adminleo
- November 8th, 2019
WANDERI: Afrika itahadhari kuhusu nia halisi ya Urusi
Na WANDERI KAMAU BAADA ya Rais Uhuru Kenyatta kujiunga na viongozi wengine wa Afrika majuma mawili yaliyopita nchini Urusi kwa kongamano...
- by adminleo
- August 16th, 2018
Ripoti yaonyesha wabunge walitumia Sh25 milioni kujifurahisha Urusi
NA PETER MBURU Wabunge waliosafiri hadi Russia kushuhudia mashindano ya kandanda ya Kombe la Dunia nchini Urusi wamewasilisha ripoti...
- by adminleo
- August 6th, 2018
Spika aitisha ripoti ya wabunge waliozuru Urusi kutazama Kombe la Dunia
Na DAVID MWERE SPIKA wa bunge la taifa, Bw Justin Muturi, amewataka wabunge waliotumia pesa za umma kwenda Urusi kutazama Kombe la Dunia...
- by adminleo
- May 9th, 2018
KURGAT: Serikali yalenga kumzima kwa kuwa ‘aliiba mamilioni Urusi’
Na CHARLES WASONGA WIZARA ya Mashauri ya Kigeni imeitaka Tume huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kutomlipa aliyekuwa kamishna wake, Paul...
- by adminleo
- March 8th, 2018
Trump akiri Urusi iliingilia uchaguzi wa Amerika 2016
Na AFP WASHINGTON, AMERIKA RAIS Donald Trump, alikiri Jumanne kwamba Urusi na ‘nchi nyingine’ ziliingilia uchaguzi wa urais...
- by adminleo
- February 27th, 2018
Raia wa Urusi aliyejitapa hatumii pufya afeli vipimo kwenye Olimpiki
Na GEOFFREY ANENE MWANAMICHEZO Nadezhda Sergeeva aliyejigamba hatumii dawa za kusisimua misuli amefeli vipimo vya matumizi ya dawa hizo...
- by adminleo
- February 14th, 2018
Marwa kusimamia Kombe la Dunia Urusi
[caption id="attachment_1542" align="aligncenter" width="800"] Refa bora wa mwaka 2017 wa kunyanyua kibendera nchini Aden Range...