Tag: ushuru
Raila akosoa ushuru wa juu unaotozwa wawekezaji
Na WANDERI KAMAU KIONGOZI wa ODM, Bw Raila Odinga, amekosoa kiwango cha juu cha ushuru kinachotozwa na serikali akisema kinawaumiza...
Suluhu azima nyongeza ya ushuru, Wakenya wazidi kuumia
Na PAUL OWERE RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameionya Mamlaka ya Ushuru (TRA), dhidi ya kupandisha ushuru.Rais Suluhu alisema...
TAHARIRI: Kurudisha kodi ni pigo kwa Wakenya
NA MHARIRI HATUA ya serikali ya kupunguza kodi za bidhaa (VAT) na mapato (PAYE) na ushuru kwa kampuni mnamo Aprili mwaka huu iliwafaidi...
Uhuru awaruka Wakenya kuhusu ushuru nafuu
Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta Jumatatu aliruka ahadi yake kwa Wakenya kuwa ushuru wa VAT ungesalia asilimia 14 hadi Juni 30...
KRA yasema itaendelea kukusanya ushuru licha ya Bunge kufuta sheria 23
Na CHARLES WASONGA MAMLAKA ya Ukusanyaji Ushuru Nchini (KRA) imefafanua kuwa itaendelea kukusanya ushuru kwa kutumia sheria...
- by adminleo
- July 13th, 2020
KRA kuzindua mfumo mpya wa kodi Nairobi
Na COLLINS OMULO MAMLAKA ya Ushuru Nchini (KRA) itaanzisha mfumo mpya kiteknolojia utakaotumika katika ukusanyaji mapato ya Kaunti ya...
- by adminleo
- July 9th, 2020
WANGARI: Kenya isitoze kodi tasnia za kidijitali ili kuinua biashara
Na MARY WANGARI HUKU biashara na mashirika mbalimbali yakikumbatia mifumo ya kidijitali katika utekelezaji wa shughuli zao kutokana na...
- by adminleo
- June 20th, 2020
Wabunge wakataa ushuru kwa pensheni
Na CHARLES WASONGA WABUNGE wameondoa pendekezo kwenye Mswada wa Fedha wa mwaka wa 2020 lililohitaji kutoza ushuru malipo ya uzeeni...
- by adminleo
- April 25th, 2020
COVID-19: Rais Kenyatta atia saini mswada wa kupunguza ushuru
Na CHARLES WASONGA SASA ni rasmi kuwa waajiriwa wanaopokea mshahara usiozidi Sh24,000 kila mwezi hawatatozwa ushuru wowote na wale...
- by adminleo
- January 3rd, 2020
TAHARIRI: Ushuru huu mpya utawaathiri wengi
Na MHARIRI MWAKA mpya unapong’oa nanga, Mkenya anajipata katika njia panda kuhusiana na jinsi anavyoendelea kuchangia ustawi wa taifa...
- by adminleo
- November 9th, 2019
Sababu ya KRA kuwaandama washukiwa wa ukwepaji ushuru
Na CHARLES WASONGA MAMLAKA ya Ukusanyaji Ushuru Nchini (KRA) imeimarisha juhudi zake za kupambana na wafanyabiashara wanaokwepa ushuru...
- by adminleo
- October 25th, 2019
NYS: Polisi ashtakiwa kwa kutolipa ushuru kwa KRA
Na RICHARD MUNGUTI AFISA wa polisi aliyelipwa mamilioni ya pesa na Shirika la Huduma ya Vijana kwa Taifa (NYS) baada ya kutoa huduma...