Tag: uvuvi
- by T L
- May 25th, 2022
Serikali kubuni kanuni mpya za kuimarisha uvuvi
NA WINNIE ATIENO SEKTA ya uvuvi nchini, inatarajiwa kupigwa jeki baada ya serikali kubuni kanuni mpya. Kanuni hizo zinalenga kuongeza...
Wapwani wakaushwa tena
Na WAANDISHI WETU MASAIBU yanayokumba wakazi wa Pwani wanapojitafutia riziki yanazidi kuongezeka, baada ya kubainika kuwa, wavuvi...
Fundi wa majahazi anayeunda mashua na mitumbwi
Na DIANA MUTHEU NI mwendo wa saa saba mchana na wavuvi wamekwisha kuondoka kutoka katika eneo la uvuvi (BMU) la Ngare lililo katika mkondo...
Sekta ya uvuvi kuimarishwa nchini
Na WINNIE ATIENO WAZIRI wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Peter Munya amesema vijana 2,000 watapewa mafunzo ya ubaharia ili waweze kufanya kazi...
- by adminleo
- August 28th, 2019
Wavuvi hatarini kunyimwa kibali kwa kupuuza kanuni
Na MAUREEN ONGALA MAELFU ya wavuvi katika Kaunti ya Kilifi wapo katika hatari ya kupigwa marufuku kuendeleza shughuli zao iwapo...
- by adminleo
- June 3rd, 2019
Uvuvi karibu na Somalia wapigwa marufuku
NA KALUME KAZUNGU SERIKALI imewapiga marufuku wavuvi wa Lamu na Pwani kutekeleza shughuli zao za uvuvi kwenye mpaka wa Kenya na...
- by adminleo
- May 27th, 2019
TZ mbioni kuokoa wavuvi wake waliokamatwa na maafisa wa Kenya
NA WINNIE ATIENO SERIKALI ya Tanzania imeingilia kati kesi kuhusu raia wake wapatao 108 waliokamatwa na maafisa wa huduma za kulinda...
- by adminleo
- May 23rd, 2019
Wavuvi 24 wa Kenya wabambwa na polisi UG
Na George Odiwuor WAVUVI 24 kutoka Kenya wanazuiliwa nchini Uganda baada ya kukamatwa kwa madai ya kukiuka sheria za uvuvi wakiendesha...
- by adminleo
- December 20th, 2018
UVUVI: Huenda kitoweo cha samaki nchini kikawa historia tusipochukua hatua
RICHARD MAOSI NA MAGDALENE WANJA Uzalishaji wa samaki nchini ulipungua pakubwa kati ya mwaka wa 2013 na 2016 - kwa asilimia 21.3 kutoka...
- by adminleo
- December 13th, 2018
AKILIMALI: Uundaji kamba kwa nyavu za samaki wawapa umaarufu na kipato
Na STEPHEN DIK Bi Josephine Anyango na msaidiza wake, Bi Monica Akoth ni wasusi wa kamba ndefu za kufunga mifugo, kamba hizi...
- by adminleo
- August 17th, 2018
Wavuvi watatu wahofiwa kuzama baharini
NA KALUME KAZUNGU WAVUVI watatu hawajulikani waliko ilhali mwingine mmoja akiokolewa baada ya boti waliyokuwa wakivulia samaki kuzama...
- by adminleo
- August 13th, 2018
Serikali sasa yaruhusu wavuvi kutumia nyavu zilizokataliwa
Na CHARLES LWANGA SERIKALI sasa imeruhusu wavuvi katika bahari ya Hindi kutumia nyavu ambazo awali zilikataliwa, kwa kuwa zinavua hadi...