• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 11:55 AM

Corona imeathiri uwezo wa wanaume kuzalisha – Utafiti

Na MASHIRIKA UTAFITI mpya umeonyesha kuwa Covid-19 inaweza kufanya wanaume kukosa uwezo wa kuzalisha.Wanasayansi wanasema kwamba wanaume...

MARY WANGARI: Elimu kuhusu afya ya uzazi itiliwe maanani hata zaidi

Na MARY WANGARI MAJUZI, Waziri wa Elimu Profesa George Magoha aliamrisha wanafunzi wajawazito ambao hawajarejea shuleni kusakwa,...

TEKNOHAMA: Usitegemee app tu katika kupanga uzazi, nyingi zinapotosha

Na LEONARD ONYANGO KUNA njia tele za wanawake kujua siku zilizo na uwezekano mkubwa wa kupata ujauzito. Kwa wanawake ambao mzunguko...

Upinzani mkali katika kongamano la uzazi

Na LEONARD ONYANGO KONGAMANO la Kimataifa kuhusu Idadi ya Watu na Maendeleo (ICPD), Jumanne liling’oa nanga licha ya kuwepo na...

TAHARIRI: Pia tuangalie faida za kongamano hili

NA MHARIRI KONGAMANO kubwa la kimataifa kuhusu Idadi ya Watu na Maendeleo (ICPD25) linang’oa nanga Jumanne jijini Nairobi huku...

Wanawake Kilifi lawamani kukataza waume kupanga uzazi

Na MAUREEN ONGALA WANAWAKE katika Kaunti ya Kilifi wameshutumiwa kwa kuwazuia waume zao kukatwa mirija ya kupitisha mbegu za kiume kama...

SHINA LA UHAI: Taswira ya vifo vya uzazi na watoto wachanga nchini Kenya

Na BENSON MATHEKA IDADI ya watoto wanaofariki wakati wa kuzaliwa na kabla ya kutimiza miaka mitano na akina mama wanaoaga dunia kutokana...

TEKNOHAMA: Si lazima vidonge kupanga uzazi

Na LEONARD ONYANGO HIVI karibuni watu huenda wakaanza kutumia simu zao za mkononi kuzuia mimba zisizohitajika. Hii ni baada ya...

Vijana wapendekeza wafundishwe kuhusu ngono na uzazi

Na FARHIYA HUSSEIN VIJANA eneo la Mombasa, wametaka maswala kuhusiana na masomo ya ngono kuzingatiwa zaidi shuleni. Vijana hao kati...

Mwanamke aliyezaliwa bila uke aomba msaada kupata watoto

MASHIRIKA Na PETER MBURU MWANAMKE kutoka Canada ambaye alizaliwa bila sehemu nyeti na utumbo wa mtoto anajikaza kuchangisha zaidi ya Sh9...

Shirika lasaka wanaume 100 kushiriki mpango wa kupanga uzazi

Na LEONARD ONYANGO WANAUME wanaotaka kupanga uzazi wametakiwa kujitokeza kwa wingi ili kukatwa mishipa ya kusafirisha mbegu za kiume kwa...

#FormNiGani: Wanaume washirikishwe kupanga uzazi

Na CAROLYNE AGOSA VUGUVUGU moja la kijamii linataka Bunge kutenga bajeti mahususi ya kuimarisha huduma za kupanga uzazi nchini huku...