Tag: vyuo
- by adminleo
- June 3rd, 2020
Wanafunzi 2600 wakataa digrii, wajiunga na taasisi za kiufundi
Na WANDERI KAMAU WANAFUNZI 2,632 ambao walihitimu kujiunga na vyuo vikuu kwenye Mtihani wa Kidato cha Nne (KCSE) mwaka uliopita,...
- by adminleo
- September 20th, 2019
Ripoti yaanika uozo ulivyokithiri katika vyuo vikuu
Na OUMA WANZALA KASHFA ya matumizi mabaya ya pesa katika Chuo Kikuu cha Maasai iliyofichuliwa majuzi, ilifunua uozo uliokolea katika...
- by adminleo
- October 22nd, 2018
Wanafunzi sasa kujiunga na vyuo vya ualimu kwa alama ya D+
Na OUMA WANZALA SERIKALI imepunguza alama za kujiunga na vyuo vya mafunzo ya walimu kwa wanafunzi kutoka kaunti 17 zilizo nyuma...
- by adminleo
- June 22nd, 2018
Vyuo vyatakiwa kubuni ofisi za kusaidia wanafunzi kuhusu ajira
Na CHARLES WASONGA WAZIRI wa Elimu Amina Mohamed ameamuru vyuo vikuu na vyuo vya kadri kote nchini kuanzisha afisi za kuwashauri...
- by adminleo
- April 30th, 2018
#EndLecturersStrike: Kero mitandaoni wanachuo wakimsihi Uhuru asuluhishe mgomo
Na PETER MBURU WANAFUNZI wa vyuo vikuu vya umma nchini wametumia mitandao ya kijamii kuonyesha ghadhabu zao, wakinuia kumfikishia Rais...
- by adminleo
- April 19th, 2018
Wahadhiri waapa kutumia njia zote kuendeleza mgomo wao
Na WANDERI KAMAU WAHADHIRI wa vyuo vikuu vya umma Jumatano waliapa kutumia njia mbadala kuendeleza mgomo wao baada ya maandamano...