Tag: wabunge
- by T L
- November 23rd, 2021
Wabunge kusafiri Denmark kunoa bongo kupitisha mswada wa chakula
Na SAMMY WAWERU WABUNGE wanatarajiwa kusafiriwa nchini Denmark mwezi huu wa Novemba ili kupata mafunzo ya usalama wa chakula, kabla...
Wabunge 10 waitwa na NCIC kuhusu fujo
Na SAMMY WAWERU TUME ya Uwiano na Utangamano (NCIC), imekashifu vikali fujo na vurugu zilizozuka wakati wa chaguzi ndogo za Matungu,...
Muturi aziba mwanya ambao wabunge hutumia kutafuna maelfu
Na CHARLES WASONGA SPIKA Justin Muturi ametoa amri kwamba ni wabunge saba pekee wataruhusiwa kusafiri maeneo mbalimbali nchini...
Wabunge Omboko Milemba na Johanna Ng’eno waongoza katika orodha ya utendakazi
Na CHARLES WASONGA MBUNGE wa Emurua Dikirr Johanna Ng’eno ambaye anakabiliwa na kesi ya uchochezi mahakamani ameibuka kuwa wa pili...
- by adminleo
- April 12th, 2020
Wabunge wazee kufungiwa nje ya vikao
Na SAMWEL OWINO WABUNGE wazee hawataruhusiwa kuhudhuria vikao vya bunge wala mikutano ya kamati wakati bunge litakapofunguliwa...
- by adminleo
- April 8th, 2020
Wabunge wote wanafaa kujitenga – Murungi
DAVID MUCHUI NA FATUMA BUGU Mbunge wa Imenti Kusini, Kathuri Murungi amewataka wabunge wote kuenda karantini akidai kuwa walijumuika na...
- by adminleo
- April 8th, 2020
Hofu wabunge 17 wana virusi vya corona
SAMWEL OWINO na FATUMA BUGU KIKAO maalum cha wabunge kimeahirishwa kwa muda usiojulikana kutokana na hofu kuwa baadhi ya wabunge...
- by adminleo
- February 12th, 2020
Wabunge walivyoimba nyimbo za kusifu Nyayo bungeni
Na Charles Wasonga WABUNGE mnamo Jumatatu alasiri walivunja sheria za bunge na kuimba nyimbo za kumsifu Rais Mstaafu marehemu Daniel...
- by adminleo
- December 22nd, 2019
2019: Wabunge 13 ambao wamekuwa mabubu bungeni tangu waapishwe
Na CHARLES WASONGA MDAHALO mkali uliibuka mwaka huu kuhusu suala zima la utathmini wa utendakazi wa wabunge na maseneta baada ya kubaini...
- by adminleo
- August 9th, 2019
Sh100m: Wabunge wa Kenya ndio wengi zaidi duniani kwa kongamano Amerika
LUCAS BARASA na CHARLES WASONGA WAANDALIZI wa kongamano la wabunge nchini Amerika wamefichua orodha ya watu 85 ya ujumbe wa Kenya katika...
- by adminleo
- June 7th, 2019
ULAFI: Wabunge watisha kuteka nchi wakipigania matumbo yao
Na CHARLES WASONGA WABUNGE na maseneta Alhamisi waliitaka Tume ya Kukadiria Mishahara na Marupurupu (SRC) ikubali waendelee kulipwa...
- by adminleo
- May 20th, 2019
Ni haki yetu kupewa marupurupu, wasema ‘waheshimiwa’
Na LUCY MKANYIKA KAMATI ya Bajeti katika Bunge la Kitaifa imetetea uamuzi wa Tume ya Huduma za Bunge kuidhinisha marupurupu ya nyumba ya...