Tag: wachina
- by T L
- January 13th, 2022
SGR: Jinsi Wachina walivyozima Uhuru
NA PHILIP MUYANGA RAIS Uhuru Kenyatta alishindwa kutimiza ahadi aliyotoa kwa Wakenya mnamo 2018 kuwa angetoa kwa umma kandarasi kati ya...
- by adminleo
- August 1st, 2020
Wachina watoroka corona Kenya
VALENTINE OBARA na SALATON NJAU MAMIA ya raia wa China jana Ijumaa walianza kuondoka Kenya kurudi nchini mwao, wakihofia kuambukizwa...
- by adminleo
- February 26th, 2020
Mahakama yaamuru Wachina wanne warudishwe kwao
Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Jumatano iliamuru raia wanne wa Uchina walionaswa katika video wakimchapa Mkenya warudishwe nchini kwao mara...
- by adminleo
- February 19th, 2020
Matiang’i azimwa kufukuza Wachina waliochapa raia wa Kenya viboko
Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu Jumatano ilisitisha agizo la Waziri wa Usalama, Dkt Fred Matiang’i lililotaka raia wanne wa China,...
- by adminleo
- February 10th, 2020
Wachina watiwa adabu kwa kushambulia Mkenya
Na RICHARD MUNGUTI RAIA wanne wa Uchina miongoni mwao mpishi aliyenaswa katika picha za video akimshambulia raia wa Kenya na kumwumiza...
- by adminleo
- February 10th, 2020
Wachina waliochapa Mkenya mijeledi kuadhibiwa vikali na serikali
Na LEONARD ONYANGO POLISI wamekamata raia wanne wa China kuhusiana na video iliyochipuka mtandaoni ikionyesha Mchina akichapa viboko...
- by adminleo
- January 9th, 2019
Wachina 3 waliokamatwa na nyama zilizooza wazuiliwa
Na RICHARD MUNGUTI RAIA watatu wa Uchina waliotiwa nguvuni Januari 8, 2019 katika mtaa wa Kilimani wakiwa na nyama za wanyamapori...
- by adminleo
- September 19th, 2018
Wachina 15 wafurushwa kwa kushiriki ukahaba South C
Na VALENTINE OBARA RAIA 15 wa Uchina wakiwemo wanawake 13 na wanaume wawili, Jumatano walikamatwa kwa madai ya kushiriki ukahaba jijini...
- by adminleo
- August 17th, 2018
Wakenya na Wachina taabani kwa kusajili laini 30,000 za Airtel kulaghai watu
Na RICHARD MUNGUTI RAIA wawili wa Uchina na Wakenya sita akiwamo mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kenyatta walishtakiwa kwa kushiriki katika...