• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 11:42 PM

Wakenya wengine 20 watimuliwa Amerika

Na MWANDISHI WETU WAKENYA 20 ni miongoni mwa watu 100 waliofurushwa Marekani kutokana na swala tata la wahamiaji haramu huku wengine...

Wakenya watwaa dhahabu Mbio za Nyika Algeria

Na GEOFFREY ANENE WAKENYA Celliphine Chespol, Ronex Kipruto na Alfred Barkach wamezoa medali za dhahabu katika Mbio za Nyika za Afrika...

Wakenya wanaamini machifu kuliko mawakili – Utafiti

Na BENSON MATHEKA Kwa ufupi: Ni asilimia 7 pekee ya Wakenya 6005 walioshirikishwa wanaotafuta ushauri wa kisheria kutoka kwa...

Wakenya Maritim na Chebitok watawala Barcelona Marathon

Na GEOFFREY ANENE WAKENYA Anthony Maritim na Ruth Chebitok waliibuka mabingwa wapya wa mbio za Barcelona Marathon nchini Uhispania,...

Wakenya 1,300 wanaozea jela nchi za kigeni – Serikali

Na WYCLIFFE MUIA TAKRIBAN Wakenya 1,300 wanazuiliwa katika magereza ya mataifa ya nje, kwa mujibu wa Waziri wa Masuala ya Ndani Monica...

Wakenya waandamana Amerika kupinga serikali kuhangaisha upinzani

Na CHRIS WAMALWA na RICHARD MUNGUTI KIKUNDI kikubwa cha Wakenya wanaoishi Amerika kiliandamana Jumamosi nje ya makao makuu ya Umoja wa...

Wakenya wadaka mkwanja mbio za Lagos Marathon

Na GEOFFREY ANENE WAKENYA Ronny Kiboss, Benjamin Bitok na Rodah Jepkorir walijishindia Sh4 milioni, Sh3 milioni na Sh403, 986 baada ya...