Tag: wakilisha
- by adminleo
- July 23rd, 2019
WAKILISHA: Kipaji chao ni kwa ajili yao na jamii pia
Na PAULINE ONGAJI WANAPANIA kuteka tasnia ya densi nchini Kenya; na bila Skysquad Dance Crew, wako mbioni kufikia ndoto hiyo. Tayari...
- by adminleo
- July 16th, 2019
WAKILISHA: Atumia muziki kunyosha jamii
Na PAULINE ONGAJI ANATUMIA muziki kuangazia masuala yanayoikumba jamii yake na katika harakati hizo kusaidia kupata suluhu. Ni kazi...
- by adminleo
- July 9th, 2019
WAKILISHA: Mshairi chipukizi ajongea jukwaani
Na PAULINE ONGAJI KATIKA umri wa miaka 12 pekee amejiundia jina katika nyanja ya ushairi, suala ambalo limezidi kummiminia sifa tele sio...
- by adminleo
- July 2nd, 2019
WAKILISHA: Apanda farasi wawili kwa ustadi mkuu
Na PAULINE ONGAJI LICHA ya kwamba anasomea sheria, anasisitiza kamwe hatolegeza jitihada zake za kutimiza ndoto ya kuwa...
- by adminleo
- June 25th, 2019
WAKILISHA: Mfano bora kwa wenzake mtaani
Na PAULINE ONGAJI KATIKA umri mdogo wa miaka 15, yuko mbioni kuhakikisha kwamba anaorodheshwa miongoni mwa marapa wa kike wanaotamba sio...
- by adminleo
- June 11th, 2019
WAKILISHA: Mchezo wa sarakasi wampaisha mtaani
Na PAULINE ONGAJI KATIKA eneo la Muthama, Waithaka mtaani Kawangware, jijini Nairobi, nyota amezaliwa. Naam, nyota wa sarakasi, Stacy...
- by adminleo
- May 21st, 2019
WAKILISHA: Uchoraji pato na jukwaa kulea vipaji
Na PAULINE ONGAJI ANAJIUNDIA kipato kupitia uchoraji, suala ambalo limemwezesha kukidhi mahitaji yake huku akiendelea na masomo...
- by adminleo
- May 14th, 2019
WAKILISHA: ‘Gavana’ mwenye umri mdogo zaidi
Na PAULINE ONGAJI KATIKA umri wa miaka 19 pekee anawakilisha vijana katika Kaunti ya Bomet, wadhifa alioupata mwaka 2018 akiwa na umri wa...
- by adminleo
- April 16th, 2019
WAKILISHA: Mlezi wa vipaji vya usemaji na ulumbi
Na PAULINE ONGAJI AMEJITWIKA jukumu la kukuza vipaji vya usemaji na sanaa miongoni mwa vijana, katika harakati za kuwasaidia kujua jinsi...
- by adminleo
- April 9th, 2019
WAKILISHA: Mtetezi wa mabinti dhidi ya ukeketaji
Na TOBBIE WEKESA UKEKETAJI wa mtoto wa kike si suala geni nchini Kenya. Kunazo baadhi ya jamii ambazo zingali zinaendeleza utamaduni huu...
- by adminleo
- April 2nd, 2019
WAKILISHA: Asambaza teknolojia mashinani
Na PAULINE ONGAJI AMEJITWIKA jukumu la kuhakikisha kwamba watoto na vijana katika sehemu za mashambani wanafikia teknolojia ya kisasa kama...
- by adminleo
- March 26th, 2019
WAKILISHA: Ajikakamua kufukuza ujinga barani
Na PAULINE ONGAJI VIJANA wa Kiafrika wanaaminika kutokuwa na ari ya kusoma vitabu wakilinganishwa na wenzao kutoka sehemu zingine...