Tag: wakimbizi
DOUGLAS MUTUA: Tuwasitiri na tuwapende wakimbizi wa Afghanistan
Na DOUGLAS MUTUA TANGU hapo mcheka kilema hafi kabla hakijamfika. Ni tahadhari ya wahenga, lakini Mkenya ana mazoea ya kuipuuza. Juzi...
- by adminleo
- December 17th, 2019
NGILA: Teknolojia itumiwe kuwapa tumaini watoto wa wakimbizi
NA FAUSTINE NGILA WIKI iliyopita Mfumo wa Kimataifa wa Miungano ya Mawasiliano (GSMA) na kampuni ya mawasiliano ya Vodafone...
- by adminleo
- August 28th, 2019
UNHCR yapinga hatua ya TZ kutimua wakimbizi wa Burundi
Na AFP WAKIMBIZI 200,000 kutoka Burundi wamepewa makataa ya mwezi mmoja kuondoka Tanzania la sivyo watarejeshwa kwao kwa...
- by adminleo
- July 23rd, 2019
Shirika lataka IDP bandia waliopokea fidia wachunguzwe
Na GERALD BWISA KUNDI linalopigania masilahi ya Wakimbizi wa Ndani kwa Ndani maarufu kama IDPs wanaitaka Idara ya Uchunguzi wa...
- by adminleo
- August 28th, 2018
Wakimbizi 400 waliohepa Al-Shabaab wazidi kuishi kambini
NA KALUME KAZUNGU ZAIDI ya wakimbizi 400 waliotoroka ghasia za Al-Shabaab Kaunti ya Lamu bado wanaendelea kuishi kwenye kambi ya wakimbizi...
- by adminleo
- February 12th, 2018
Tanzania kujitoa katika mpango wa UN kuwapa wakimbizi uraia
[caption id="attachment_1282" align="aligncenter" width="800"] Rais wa Jamhuri ya Tanzania Bw John Pombe Magufuli. Picha/...