Tag: walimu
- by T L
- November 8th, 2021
Fujo shuleni: Walimu wakuu Nyandarua kushtakiwa
Na KENYA NEWS AGENCY MKURUGENZI wa Elimu Kaunti ya Nyandarua Philip Wambua amewaonya walimu wakuu kwamba watashtakiwa ikiwa washindwa...
- by T L
- October 25th, 2021
Hofu idadi ya walimu wanaokufa karibu na maeneo ya chang’aa ikiongezeka
Na Wycliffe Nyaberi VISA vya walimu kupatikana wamekufa katika hali ya kutatanisha karibu na maeneo ya kuuza pombe aina ya chang’aa...
WABUNGE waisuta TSC kwa kubebesha walimu mzigo wa mafunzo ya ziada
Na CHARLES WASONGA WABUNGE Jumanne jioni walipinga vikali mpango wa Tume ya Huduma za Walimu (TSC) ya kuwataka walimu kulipa Sh6,000...
TAHARIRI: Serikali isilazimishe walimu kusoma tena
NA MHARIRI WAKUU wa vyama vya kutetea walimu nchini ni wasaliti kwa kukubali kuingia katika mkataba ya kuwataka walimu waongezee masomo...
Kanuni mpya kwa walimu wa nyanjani
Na FAITH NYAMAI TUME ya Kuwaajiri Walimu (TSC) imetoa masharti ya ajira kwa nyadhifa 1,995 za walimu walio kwenye mpango wa mafunzo ya...
Walimu hatarini kukosa nyongeza ya mishahara
Na FAITH NYAMAI WALIMU kote nchini huenda wakakosa nyongeza ya kila mwaka ya mishahara yao pamoja na kupandishwa kwa baadhi ya vyeo...
Walimu sasa walia, wataka nyongeza mpya ya mshahara
Na ERIC MATARA CHAMA cha walimU (Knut), kinataka Tume ya Huduma ya Walimu (TSC), kuharakisha mazungumzo kuhusu makubaliano ya pamoja...
Walimu waililia serikali iwalinde dhidi ya ugaidi
Na Manase Otsialo CHAMA cha Walimu nchini (KNUT) kimeitaka serikali ihakikishe usalama unaimarishwa Kaunti ya Mandera ili masomo yarejee...
Serikali yatakiwa kuwapa walimu ulinzi wa kutosha
EVANS KIPKURA na STEVE NJUGUNA MUUNGANO wa walimu nchini umetoa wito kwa serikali kurejesha amani katika kaunti za Bonde la Ufa ambazo...
Walimu watahudumu miaka 10 kabla ya kuajiriwa – TSC
NA KITAVI MUTUA WALIMU wanaopewa kazi ya kandarasi na Tume ya TSC sasa watatumika kwa miaka 10 kabla ya kuajiriwa kikamilifu. Hii ni...
- by adminleo
- July 19th, 2020
Saidieni shule za kibinafsi zisifilisike, Magoha awarai wazazi
WIZARA ya Elimu imewarai wazazi wenye uwezo kifedha kuwasaidia walimu wa shule za kibinafsi, ili shule hizo zisifilisike kutokana na janga...
- by adminleo
- July 5th, 2020
Walimu wote kupimwa kabla ya shule kufunguliwa
Na GEORGE MUNENE WALIMU wote watapimwa virusi vya corona kabla ya shule kufunguliwa kama sehemu ya juhudi za kuzuia kuenea kwa ugonjwa...