Tag: WAZO BONZO
- by adminleo
- May 6th, 2018
Atwangwa na mkewe kama mburukenge kwa kutomnunulia nyama
Na BENSON MATHEKA GITHUNGURI, KIAMBU WAKAZI wa hapa, waliachwa vinywawazi baada ya jombi kupokonywa mboga na kutandikwa na mkewe kama...
- by adminleo
- May 6th, 2018
Akemea pasta kanisani kumchochea aachane na mumewe amtafutie bwanyenye
Na CORNELIUS MUTISYA KAVIANI, MACHAKOS MAMA wa hapa alimkemea pasta wake mbele ya waumini akimshutumu kwa kumchochea amteme mumewe...
- by adminleo
- April 30th, 2018
King’asti aelezea alivyomhepa mumewe baa na kumlisha polo asali gesti
Na BENSON MATHEKA KAYOLE, NAIROBI MWANADADA mmoja mtaani hapa alishangaza marafiki zake alipowafichulia kwamba alimuacha mumewe...
- by adminleo
- April 24th, 2018
Pasta atisha kushtaki mwenzake kudai anauza pombe
Na OSBORN MANYENGO KITALE MJINI Pasta mmoja mjini hapa ametishia kumshtaki mwenzake anayedai amekuwa akimkejeli kwenye mahubiri yake...
- by adminleo
- April 22nd, 2018
Yaya ajuta kugeuza nyumba ya mdosi kuwa danguro
Na SAMMY WAWERU FREE AREA, NAKURU Yaya aliyekuwa akifanya kazi kwa mama mmoja mtaani hapa, anajuta baada ya kupigwa kalamu kwa...
- by adminleo
- April 19th, 2018
Ajuta kujaribu kumtia mumewe kiganjani
Na LEAH MAKENA GITEMBENE, MERU Mama wa hapa alipatiwa talaka kwa kuweka akiba kisiri ili ajenge nyumba ya kifahari. Mama alikuwa na...
- by adminleo
- April 18th, 2018
Buda taabani kufanyia yaya karamu ya bethidei
Na JOHN MUSYOKI, MURANG'A MJINI KIZAAZAA kilishuhudiwa katika boma moja mjini hapa mtu na mkewe walipofokeana jamaa alipomwandalia...
- by adminleo
- April 16th, 2018
Tetesi kasisi alitumia ndumba kupora mke
Na CORNELIUS MUTISYA NZAIKONI, MACHAKOS Pasta mmoja wa eneo hili ameingiwa na kibaridi baada ya tetesi kutanda mtaani kuwa alitumia...
- by adminleo
- April 11th, 2018
Lofa apasua kuni kama adhabu ya kula vya bwerere
Na TOBBIE WEKESA GIKOMBA, NAIROBI Kalameni mmoja aliwaacha watu vinywa wazi mkahawani alipodai kwamba hakuwa na hela za kulipia...
- by adminleo
- April 10th, 2018
Buda afumania mkewe peupe akigawa asali sebuleni
Na BENSON MATHEKA EMBAKASI, NAIROBI KALAMENI wa hapa hakuamini macho yake alipompata mkewe akigawa asali kwenye kochi katika sebule...
- by adminleo
- April 9th, 2018
Pasta ashangaza kuomba waumini idhini afurushe mkewe
Na TOBBIE WEKESA KABATI, MURANG'A PASTA wa kanisa moja la hapa aliwaacha wengi vinywa wazi alipowaomba ruhusa waumini ili amtimue mke...
- by adminleo
- April 8th, 2018
Polo aliyeokoka afichulia waumini yeye ni mpenziwe mke wa pasta
Na SAMMY WAWERU KANDARA, MURANG'A WAUMINI wa kanisa moja mtaani hapa walipigwa na mshangao jamaa aliyeamua kuokoka alipodai alikuwa...