Tag: ziwa victoria
- by T L
- October 28th, 2021
LEONARD ONYANGO: Utafiti kuhusu hatari ya Ziwa Victoria usipuuzwe
Na LEONARD ONYANGO MATOKEO ya utafiti yaliyotolewa wiki jana, yanayoonyesha kuwa maji ya Ziwa Victoria yanachangia katika ongezeko la...
AKILIMALI: Ni miaka 40 sasa akishona nyavu za samaki, kazi inayomsomeshea wanawe hadi chuoni
Na WINNIE ONYANDO KUFANIKIWA katika kila jambo ni sharti ujitoe mhanga na uwe mvumilivu. Katika mtaa wa Uyawi kwenye ufuo wa Ziwa...
Onyo kuhusu mafuriko eneo la Ziwa Victoria
Na WAANDISHI WETU WAKAZI wa maeneo yanayokumbwa na hatari ya mafuriko hasa Nyanza na Budalangi na pia eneo la Magharibi mwa Kenya...
Uganda, Tanzania zaonya Wakenya kuhusu Ziwa Victoria
Na ELIZABETH OJINA UHUSIANO wa Kenya na majirani zake umeendelea kuharibika, baada ya Tanzania na Uganda kuungana na kuwaonya wavuvi wa...
- by adminleo
- February 16th, 2020
Asilimia 92 ya maji ya Ziwa Victoria ni kinyesi na sumu!
Na PAUL WAFULA SAMAKI wanaovuliwa kutoka Ziwa Victoria wana madini ambayo ni sumu kwa mwili wa mwanadamu, uchunguzi wa Taifa Leo...
- by adminleo
- May 27th, 2019
Hofu Ziwa Victoria likinyakuliwa na wafanyabiashara
NA GEORGE ODIWUOR HOFU imezuka kuhusu hatima ya wavuvi katika Ziwa Victoria, baada ya kubainika kampuni za kibinafsi zimetwaa sehemu...
- by adminleo
- February 27th, 2019
ODONGO: Heko Raila na Uhuru kwa juhudi zenu kulikomboa Ziwa Victoria
NA CECIL ODONGO HATUA ya viongozi wakuu nchini kulivalia njuga tatizo la miaka nenda miaka rudi la magugumaji katika Ziwa Victoria ni la...
- by adminleo
- January 23rd, 2019
GUGUMAJI ZIWANI: Jukumu la kwanza la Raila AU
Na CHARLES WASONGA KIONGOZI upinzani Raila Odinga Ijumaa alitekeleza wajibu wake wa kwanza kama Mjumbe Maalum wa Umoja wa Afrika (AU)...
- by adminleo
- January 10th, 2019
Mvuvi Mkenya aogelea kilomita tano kukwepa wanajeshi wa Uganda
GAITANO PESSA Na PETER MBURU MVUVI mmoja wa Kenya amesema kuwa Jumanne aliponea kifo kwa kuruka kutoka meli, kisha kuogelea umbali wa...
- by adminleo
- June 18th, 2018
Jeshi la Uganda lazidi kuhangaisha Wakenya Ziwa Victoria
RUSHDIE OUDIA, BARACK ODUOR na ELISHA OTIENO TAHARUKI imetanda katika visiwa vilivyo Ziwa Victoria kufuatia kukamatwa kwa wavuvi...
- by adminleo
- June 12th, 2018
Wanajeshi wa Uganda wazuilia polisi wa Kenya ziwani Victoria
Na RUSHDIE OUDIA WANAJESHI wa Uganda wanawazuilia maafisa wa usalama wa Kenya katika kile kinachoonekana kuwa mzozo wa hivi punde kuhusu...
- by adminleo
- April 30th, 2018
Hamtakamatwa tena na polisi wa Uganda, serikali yahakikishia wavuvi Ziwa Victoria
Na BARACK ODUOR SERIKALI imewahakikishia wavuvi katika Ziwa Victoria kwamba watapewa ulinzi dhidi ya kuhangaishwa na kukamatwa na...