Tag: BI TAIFA
BI TAIFA NOVEMBA 01, 2020
Diana Arao 24, ni mwanafunzi wa fasheni katika taasisi moja mjini Nakuru.Yeye ni mwanamitindo na mwanafasheni.Uraibu wake ni kuchora,...
BI TAIFA OKTOBA 31, 2020
Venessa Wambui 21, ni mwanafunzi wa masuala ya kiuchumi katika College of Accountancy jijini Nairobi.Uraibu wake ni kusafiri nakusoma...
- by adminleo
- November 22nd, 2020
BI TAIFA OKTOBA 30, 2020
Mercy Kangogo 22, ni mwalimu kutoka eneo la Kabarnet. Anapenda kufundisha na kufanya utafiti katika maswala ya urembo. Picha/Richard Maosi
BI TAIFA OKTOBA 29, 2020
Melanie Ann 20, ni mwanafunzi wa uanahabari katika chuo kimoja jijini Nairobi. Uraibu wake ni kusakata densi na kusakata kabumbu....
BI TAIFA OKTOBA 28, 2020
Lucy Miru 30, ni mkazi wa mtaa wa Freearea kaunti ya Nakuru, yeye ni mwongozaji wa vipindi katika vyombo vya habari.Uraibu wake ni kusoma...
BI TAIFA OKTOBA 27, 2020
Aleccins Kinogu ni tabibu kutoka kaunti ya Nairobi. Kufikia sasa amefikisha miaka 26. Uraibu wake ni kutangamana na marafiki na kusikiliza...
BI TAIFA OKTOBA 26, 2020
Lucy Wanjiru 23, ni mkazi wa eneo la Mau Summit viungani mwa mji wa Nakuru. Yeye ni mwigizaji wa vitabu vya fasihi katika majukwaa...
BI TAIFA OKTOBA 25, 2020
Waridi Zuena mwenye miaka 21, ni mwanafunzi katika Chuo Kikuu cha Moi Bewa kuu. Uraibu wake ni kutangamana na marafiki , kuimba na...
BI TAIFA OKTOBA 24, 2020
Faith Kerubo ni mwanamitindo wa Lanet, amefikisha miaka 24. Uraibu wake ni kusakata densi na kujivinjari katika maeneo mbalimbali....
BI TAIFA OKTOBA 23, 2020
Mary Narikae Namnyak, 22. Yeye ni mfanyibiashara na mwanafasheni kutoka kaunti ya Nakuru.Uraibu wake ni kusafiri, kupiga picha na kuogelea....
BI TAIFA OKTOBA 22, 2020
Victorine Arao 28,ni mfanyibiashara katika eneo la Maasai Market kaunti ya Nakuru.Uraibu wake ni kusikiliza muziki na kujumuika na...
BI TAIFA OKTOBA 21, 2020
Bridgit Regina mwenye umri wa miaka 21 ni mzaliwa wa kaunti ya Nairobi, anapenda kufanya mazoezi na kuandika mashairi. Picha/Richard Maosi