Tag: michezo
- by T L
- October 28th, 2021
Bondia Ajowi kutetea hadhi ya Hit Squad
GEOFFREY ANENE na CHARLES ONGADI Mabondia Elly Ajowi, Martin Oduor na Joseph Shigali wanatumai kutetea hadhi ya Kenya kwenye Ndondi za...
- by T L
- October 26th, 2021
City Stars, Homeboys na Bandari zawika ligi ikianza kushika kasi
Na CECIL ODONGO Nairobi City Stars, Kakamega Homeboyz na Bandari zimechukua uongozi wa mapema wa msimu, Ligi Kuu nchini baada ya kutwaa...
- by T L
- October 25th, 2021
Real Sociedad watua kileleni mwa jedwali la Liga baada ya kutoka sare na Atletico
Na MASHIRIKA REAL Sociedad walirejea kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) licha ya mabao mawili waliyofungwa na...
- by T L
- October 25th, 2021
PSG na Marseille waumiza nyasi bure katika Ligi Kuu ya Ufaransa
Na MASHIRIKA OLYMPIQUE Marseille na Paris Saint-Germain (PSG) waliambulia sare tasa katika mechi ya Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1)...
- by T L
- October 25th, 2021
Dybala aokoa Juventus kinywani mwa Inter Milan katika gozi la Serie A
Na MASHIRIKA MSHAMBULIAJI Paulo Dybala alitokea benchi katika kipindi cha pili na kufunga penalti iliyowazolea waajiri wake Juventus...
- by T L
- October 25th, 2021
Barcelona na Boca Juniors kupimana ubabe kwenye kipute kipya cha Maradona Cup
Na MASHIRIKA BARCELONA watamenyana na Boca Juniors katika mchuano wa mkondo mmoja wa kirafiki ili kuadhimisha mwaka mmoja tangu kufariki...
- by T L
- October 24th, 2021
Alaba afunga bao na kusaidia Real Madrid kunyanyasa Barcelona kwenye El Clasico
Na MASHIRIKA REAL Madrid walipiga Barcelona 2-1 katika gozi kali la El Clasico lililowakutanisha uwanjani Camp Nou mnamo...
- by T L
- October 24th, 2021
Tielemans na Maddison wasaidia Leicester kuzamisha chombo cha Brentford ligini
Na MASHIRIKA KIUNGO James Maddison alicheka na nyavu za wapinzani kwa mara ya kwanza tangu Februari mwaka huu na kusaidia Leicester City...
- by T L
- October 24th, 2021
Liverpool wadhalilisha Man-United kwenye EPL ugani Old Trafford
Na MASHIRIKA KOCHA Ole Gunnar Solskjaer wa Manchester United amesema hawezi kutamauka sasa katika safari ya kudhibiti mikoba ya waajiri...
- by T L
- October 23rd, 2021
Mashabiki waruhusiwa kuingia viwanja vya Kenya kwa mara ya kwanza tangu Machi 2020
Na VICTOR OTIENO WAPENZI wa michezo sasa wanaweza kuingia viwanjani kushangilia timu zao baada ya serikali kutangaza kuwa imeondoa...
Pigo kwa waandalizi wa Michezo ya Shule baada ya Rais Uhuru Kenyatta kupiga marufuku shughuli zote zisizo za kiakademia shuleni kwa siku 90
Na BRIAN YONGA WAANDALIZI wa michezo kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari humu nchini wamepata pigo baada ya Rais Uhuru...
Ni muhimu watoto kuruhusiwa kushiriki michezo
Na MISHI GONGO MICHEZO ni kiungo muhimu katika ukuaji na uimarikaji wa mtoto katika nyanja mbalimbali. Michezo huchangia katika...