• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 9:40 PM

Watu 10 wafariki Malaysia kufuatia ajali ya helikopta mbili

NA MASHIRIKA KUALA LUMPUR, MALAYSIA WATU 10 wameaga dunia baada ya helikopta mbili kugongana hewani wakati wa maandalizi ya hafla moja ya...

Iraq yashambulia kambi ya Amerika kwa roketi nchini Syria

HASAK, SYRIA NA MASHIRIKA ROKETI zilirushwa Jumapili jioni kutoka kaskazini mwa Iraq katika kambi ya kijeshi nchini Syria inayohifadhi...

Iran yafananisha shambulio la Israel na ‘kalongolongo’

NA MASHIRIKA TEHRAN, IRAN SERIKALI ya Iran imedunisha shambulio lililotekelezwa na Israel mnamo Ijumaa, huku ikilirejelea kama hafifu na...

Amerika yawafurusha raia 50 wa Haiti waliotoroka vita nchini kwao

NA MASHIRIKA WASHINGTON DC, AMERIKA AMERIKA imewafurusha raia 50 wa Haiti ambao walihamia Washington kutokana na mapigano makali...

Israel yajibu shambulio la Iran kama ilivyoapa licha cha kuombwa isilipize kisasi

NA MASHIRIKA JERUSALEM, ISRAEL HATA baada ya serikali za nchi kadhaa duniani kuiomba Israel isilipize kisasi, jeshi la nchi hiyo...

Ndege zaelea kwenye mafuriko na kulazimu uwanja kufungwa

NA MASHIRIKA DUBAI, MILKI ZA KIARABU (UAE) UWANJA wa ndege wa Kimataifa wa Dubai umefungwa kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na...

Watu tisa waliokamatwa kwa kumzomea mke wa rais waachiliwa

NA MASHIRIKA WANAWAKE tisa waliokamatwa nchini Zimbabwe kwa madai ya kumzomea mke wa rais Auxillia Mnangagwa wameondolewa mashtaka,...

Mtajuta kuturushia makombora, Mkuu wa Jeshi Israel aambia Iran akiapa kulipiza kisasi

Na MASHIRIKA JERUSALEM, Israel MKUU wa Jeshi la Israel Herzi Halevi ameapa kujibu shambulio la Iran huku miito ya kuitaka Israeli...

Kesi ya uhalifu dhidi ya Trump yaanza kusikizwa baada ya kuahirishwa mara kadhaa

Na MASHIRIKA NEW YORK, Amerika KESI ya uhalifu dhidi ya Rais wa zamani wa Amerika Donald Trump ilianza Jumatatu jijini New York na...

Iran yaishambulia Israeli kwa msururu wa droni

REUTERS Na WANDERI KAMAU Jerusalem, Israeli IRAN mnamo Jumamosi, Aprili 13, 2024 usiku ilizindua msururu wa mashambulizi ya droni na...

Iran yarusha makombora kuelekea Israel katika hatua inayozua wasiwasi wa vita

FATUMA BARIKI NA MASHIRIKA SERIKALI ya Iran imeanzisha mashambulizi dhidi ya Israel, vyombo vya habari nchini Iran vimesema. Ripoti...

Mwigizaji wa Nollywood afariki kwenye ajali ya boti akienda kuunda filamu

NA FRIDAH OKACHI MWIGIZAJI wa filamu za Nollywood Junior Pope Odonwodo, almaarufu Jnr Pope ameaga dunia baada ya boti alilokuwa akitumia...