• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 4:10 PM

Ushoga: World Bank yauma miradi ya umma Uganda

NA AFP KAMPALA, UGANDA BENKI ya Dunia almaarufu World Bank mnamo Jumanne ilitangaza kwamba imesitisha kufadhili miradi ya umma nchini...

Utawala wa kijeshi wafunga anga ya Niger

NA MASHIRIKA NIAMEY, NIGER VIONGOZI wa utawala wa kijeshi nchini Niger, sasa wamefunga anga ya taifa hilo, baada ya kukaidi makataa...

Wakenya sasa kukamuliwa

NA CHARLES WASONGA SERIKALI imeanza ‘kuwang’ata’ raia baada ya kutangaza kuwa wafanyakazi wanaopokea mishahara kila mwezi...

Ulawiti: Papa Francis asema viongozi wa kidini wahitaji kipindi kirefu cha utakaso

NA MASHIRIKA VATICAN CITY KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis mnamo Jumatano alisema kanisa hilo linahitaji kujitakasa...

Wanawake waandamana kupinga agizo la kufungwa kwa saluni

Na AFP KABUL, Afghanistan MAAFISA wa Usalama walifyatua risasi hewani na kutumia gesi za kuwafanya watu kutoa machozi ili kuwatawanya...

Raia wa Pakistan akamatwa kwa kumuua mkewe aliyezaa na mpango wa kando

Na DAILY MONITOR KAMPALA, Uganda POLISI nchini Uganda wanamzuilia raia mmoja wa Pakistan anayedaiwa...

Rais Raisi ashambulia nchi zinazolazimisha Uganda kukumbatia mashoga

NA MASHIRIKA KAMPALA, UGANDA RAIS wa Iran Ebrahim Raisi mnamo Jumatano alilaani mitazamo ya nchi za Magharibi kuhusu ushoga wakati wa...

Jaji asukumia Koome kesi ya Sheria ya Fedha 2023

NA RICHARD MUNGUTI MACHO ya Wakenya sasa yanamuelekea Jaji Mkuu Martha Koome, anayetarajiwa kupokea faili ya kesi kuhusu Sheria ya fedha...

Maelfu ya kampuni zafungwa kufuatia hali ngumu

NA BRIAN AMBANI KAMPUNI 9,441 zilizosajiliwa zimefungwa rasmi katika kipindi cha miaka mitano iliyopita huku idadi kubwa zikilazimika...

Maajabu Meya Mexico akioa mamba

MERCY KOSKEI na MASHIRIKA MEYA wa mji mdogo Kusini mwa Mexico amewaacha wanamitandao vinywa wazi baada ya kufunga ndoa na mamba...

Puuzeni DNA msipate mshtuko wa mwaka, wanaume waambiwa

NA DAILY MONITOR KAMPALA, UGANDA WANAUME nchini Uganda wameonywa dhidi ya kupima chembechembe za uhusiano wa damu (DNA) kujua ikiwa...

Jinsi mamluki wa Wagner walivyosababisha kiwewe

CHARLES WASONGA Na MASHIRIKA UJASIRI wa kundi la Wagner wa kutaka kudhibiti ngome za wanajeshi nchini Urusi mnamo Jumamosi ulitishia...