• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 7:55 PM

Papa Francis aendelea kupata nafuu baada ya kulazwa

NA MASHIRIKA ROMA, ITALIA KIONGOZI wa kanisa katoliki Ulimwenguni, Papa Francis alilazwa hospitalini mnamo Jumatano kutokana na...

Kenya inaelewa lugha ya nishati safi – Ruto

Na PAULINE ONGAJI akiwa BERLIN, UJERUMANI RAIS William Ruto ametangaza kwamba mipango ya kutekeleza sheria za leseni za kudhibiti...

Wahamiaji 19 wafa maji wakielekea Italia

NA MASHIRIKA TUNIS, TUNISIA WAHAMIAJI 19 kutoka mataifa kadhaa ya Afrika Jumamosi walifariki katika Pwani ya Tunisia, baada ya mashua...

Sayari 5 kuonekana angani Jumanne jioni

NA MASHIRIKA SAYARI tano zitaonekana kwa tukio la kipekee mnamo Jumanne jioni ambapo zitakuwa zimejipanga kwa safu ya kuvutia. Sayari za...

Ngono: Sasa mapadre, maaskofu kuadhibiwa

NA MASHIRIKA VATICAN CITY, VATICAN VIONGOZI wa Kanisa Katoliki sasa watawajibikia wenyewe makosa ya dhuluma za kingono yatakayofanyika...

Watumishi wa umma wanyimwa ladha ya TikTok

NA MASHIRIKA PARIS, UFARANSA UFARANSA ndilo taifa la hivi punde kupiga marufuku TikTok kwenye simu za watumishi wa umma. Maafisa...

Ni roho mkononi maandamano yakiitikisa dunia

NA MASHIRIKA NAIROBI, KENYA NCHI tano duniani zinapanga kukabili maandamano ambayo yameitishwa na viongozi wa upinzani. Nchi hizo...

ICC yatoa agizo Putin akamatwe kwa uhalifu

NA MASHIRIKA THE HAGUE, UHOLANZI MAHAKAMA ya Kimataifa kuhusu Uhalifu (ICC) imetoa agizo la kukamatwa kwa Rais wa Urusi Vladimir Putin...

Idadi ya watu waliouawa na kimbunga Freddy, Malawi imefika 326

NA AFP BLANTYRE, Malawi IDADI ya watu waliokufa kutokana na kimbunga Freddy nchini Malawi imeongezeka hadi 326, Rais wa nchi hiyo Lazarus...

Maandamano yachacha Nigeria kupinga matokeo

NA MASHIRIKA ABUJA, NIGERIA MAELFU ya wafuasi wa upinzani nchini Nigeria wanaandamana kupinga matokeo ya uchaguzi wa urais. Maelfu...

Mabadiliko ya tabianchi yaweka Afrika katika hatari ya janga la malaria, kipindupindu

NA PAULINE ONGAJI [email protected] KIGALI, RWANDA BARA la Afrika linakumbwa na hatari ya kukabiliwa na janga la maradhi...

Wajumbe wa kongamano la AHAIC washiriki hafla ya matembezi siku ya kutotumia magari nchini Rwanda

NA PAULINE ONGAJI KIGALI, RWANDA KONGAMANO la Kimataifa kuhusu ajenda ya afya barani Afrika (AHAIC 2023) litang'oa nanga rasmi Jumanne...