• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 11:42 PM

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Argentina yaizidi maarifa Ufaransa kupitia penalti

CHRIS ADUNGO Na GEOFFREY ANENE ARGENTINA ndio wafalme wapya wa soka duniani baada ya kufunga Ufaransa penalti 4-2 kufuatia sare ya 3-3...

Mafuriko na maporomoko ya ardhi yaua 141 DRC wengine wakijeruhiwa

NA MASHIRIKA KINSHASHA, DRC CONGO TAKRIBAN watu 141 walifariki na wengine kujeruhiwa kufuatia mafuriko na maporomoko ya ardhi...

Viongozi Afrika wahimizwa waangazie suala la usawa wa kijinsia katika sekta ya afya

NA PAULINE ONGAJI VIONGOZI wa Afrika wameombwa kuingilia kati kuhakikisha kwamba wanaangazia suala la usawa wa kijinsia katika sekta ya...

Zelensky aashiria nia ya kutaka mazungumzo na Urusi

NA MASHIRIKA KYIV, UKRAINE RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, ameongeza juhudi za kidiplomasia za kuikabili Urusi kufuatia uvamizi wake...

Rais wa Peru avuliwa mamlaka, akamatwa

NA MASHIRIKA LIMA, PERU BUNGE la Peru limemuondoa madarakani Rais Pedro Castillo na nafasi yake kuchukuliwa na makamu, Dina Boluarte,...

Indonesia yaharamisha ngono nje ya ndoa

NA MASHIRIKA JAKARTA, Indonesia BUNGE la Indonesia limeifanyia marekebisho sheria ya uhalifu nchini humo kwa kuharamisha ngono nje ya...

Takriban raia wa Uganda 46 hufariki kwa Ukimwi kila siku

NA MASHIRIKA KAMPALA, UGANDA WIZARA ya afya nchini Uganda imesema raia wa Uganda 46 hufariki kila siku kutokana na ugonjwa wa...

DRC kuandaa uchaguzi mkuu mzozo ukichacha

NA MASHIRIKA KINSHASA, DRC JAMHURI ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) itafanya uchaguzi ujao wa urais Desemba 20, 2023. Tangazo hilo la...

Hatutambui mkataba wa kusitisha vita – M23

NA AFP KINSHASA, DRC KUNDI la waasi la M23 limesema tangazo kuhusu kusitishwa kwa vita lililotolewa wiki hii haliwahusu huku likiitisha...

Korti yaamuru Zuma arudishwe gerezani

NA MASHIRIKA JOHANNESBURG, AFRIKA KUSINI MAHAKAMA Kuu ya Rufaa nchini Afrika Kusini jana Jumatatu ilisema rais wa zamani wa taifa hilo,...

Uhuru na Kagame watoa rai kwa M23

NA MASHIRIKA NAIROBI, Kenya RAIS mtaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta na Rais wa Rwanda Paul Kagame wamekubaliana kuhusu haja waasi wa M23...

US kutoa Sh1.2b kunasa wakuu wa Al-Shabaab

NA MASHIRIKA WASHINGTON DC, AMERIKA AMERIKA imetangaza kuwa itatoa zawadi ya dola milioni 10 (Sh1.2 bilioni) kwa yeyote ambaye atatoa...