• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 11:05 AM

Mafuriko yaua watu zaidi nchini Pakistan

NA MASHIRIKA ISLAMABAD, PAKISTAN PAKISTAN imeomba msaada zaidi kutoka kwa jamii ya kimataifa kukabili mafuriko yanayoendelea nchini...

Njaa kuzidi kuathiri Pembe ya Afrika

NA MASHIRIKA GENEVA, USWISI  NJAA itaendelea kuvamia nchi za Pembe ya Afrika inayojumuisha Kenya, Ethiopia na Somalia utafiti...

Serikali yaahidi uwajibikaji kufuatia shambulio lililoua 21

NA AFP MOGADISHU, SOMALIA WAZIRI Mkuu wa Somalia Hamza Abdi Barre ameahidi uwajibikaji kutoka kwa serikali yake kufuatia kisa ambapo...

Wasiwasi wazidi katika kiwanda cha nyuklia

NA MASHIRIKA KYIV, UKRAINE MATAIFA ya Magharibi yamesisitiza kuhusu haja ya “kuimarishwa kwa usalama” wa vituo vya nuklia...

Kabuga kushtakiwa wiki ijayo The Hague

NA AFP PARIS, UFARANSA MSHUKIWA Mkuu wa mauaji ya halaiki yaliyotokea 1994 nchini Rwanda, Felicien Kabuga, atafunguliwa mashtaka jijini...

Ruto abwaga Raila kuwa rais wa tano wa Kenya

NA BENSON MATHEKA WILLIAM Samoei Ruto, ndiye rais mteule wa tano wa Kenya baada ya kuwashinda wapinzani wake watatu kwenye uchaguzi...

Ghasia zazuka Somaliland upinzani ukisisitiza kura ifanyike

NA AFP HARGEISA, Somaliland WATU kadhaa waliuawa na wengine wengi wakajeruhiwa Alhamisi jioni polisi walipowashambulia waandamanaji...

Amerika yataka Afrika ikatae ‘kutumiwa vibaya’

NA AFP PRETORIA, AFRIKA KUSINI WAZIRI wa Mashauri ya Kigeni wa Amerika, Antony Blinken, amezitaka nchi za Afrika kukataa masharti...

Zelensky ashutumu shirika la Amnesty kwa kutuhumu wanajeshi wake

NA AFP KYIV, UKRAINE RAIS wa Ukraine Volodymyr Zelensky amelishutumu shirika la Amnesty International kwa kudai wanajeshi wa nchi...

UN yatoa tahadhari, njaa kutesa Sudan

NA XINHUA KHARTOUM, SUDAN UMOJA wa Mataifa (UN) kwa mara nyingine umeonya kuhusu uwezekano wa Sudan kushuhudia uhaba mkali wa chakula...

Biden hajapona corona, daktari wake asema

NA MASHIRIKA WASHINGTON, Amerika RAIS wa Amerika Joe Biden hajapona Covid-19 lakini anahisi vizuri bila joto jingi mwilini, asema...

Aliyekuwa kiongozi wa al Shabaab ateuliwa waziri

NA AFP MOGADISHU, Somalia SOMALIA imemteua aliyekuwa naibu kiongozi na msemaji wa kundi la kigaidi la Al Shabaab, Muktar Robow kuwa...