• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 4:31 PM

Kero ya Ndovu: Wakazi wa Ganze wasumbuka kupata fomu za kujaza walipwe fidia

NA MAUREEN ONGALA MBUNGE wa Ganze Kenneth Kazungu amelitaka Shirika la Huduma kwa Wanyamapori (KWS) kurudisha huduma zake mashinani ili...

Mahakama yaambiwa Mackenzie aliongoza ibada za kuwazika waumini waliofunga wakaangamia

Na BRIAN OCHARO MAHAKAMA ya Shanzu imeelezwa Ijumaa kuwa mhubiri Paul Mackenzie aliongoza hafla ya mazishi ya mamia ya wafuasi wake ambao...

MKU yakariri kujitolea kuendelea kushiriki makongamano ya uimarishaji wa elimu

Na LAWRENCE ONGARO CHUO Kikuu cha Mount Kenya (MKU) kiliandaa kongamano lililoleta pamoja washiriki kutoka kwa vyuo vya mataifa...

Jenerali Ogolla achapa kibarua cha kwanza katika Sherehe ya Kitaifa tangu aapishwe kuwa CDF

NA CHARLES WASONGA MKUU wa Majeshi ya Ulinzi ya Kenya (CDF) aliyeteuliwa juzi Francis Ogolla mnamo Alhamisi Juni 1, 2023 alitekeleza...

Chuo Kikuu cha Mtandaoni kuzinduliwa rasmi mwezi huu, aahidi Rais Ruto

NA CHARLES WASONGA KUFIKIA mwishoni mwa mwezi huu wa Juni, Wakenya wataanza kusomea shahada za digrii kupitia mtandaoni kufuatia...

Makundi sasa kupata mkopo wa Hasla

NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto mnamo Alhamisi alizindua huduma nyingine ya mpango wa utoaji mikopo kutoka kwa Hazina ya Hasla...

Madaraka Dei: Kamishna wa Trans-Nzoia awaonya watengenezaji pombe haramu

NA OSBORN MANYENGO KAMISHNA wa Kaunti ya Trans-Nzoia Gideon Oyagi ameonya watengenezaji wa pombe haramu eneo hilo huku akiwataka...

Mzee arushwa jela kwa ulaghai wa shamba

Na RICHARD MUNGUTI MZEE wa miaka 60 atakula maharagwe kwa miaka mitatu gerezani baada ya kupatikana na hatia ya ulaghai wa shamba mjini...

Utata wa kesi ya mvulana wa miaka 13 akinajisi msichana wa miaka 4  

  NA TITUS OMINDE MVULANA wa miaka 13 anayekabiliwa na mashtaka ya unajisi kinyume na sheria ya makosa ya ngono ya 2006 atajua...

Maadhimisho ya Madaraka Dei Juni 1, 2023, katika Uwanja wa Moi, Embu

[caption id="attachment_125801" align="alignnone" width="500"] Maadhimisho ya Madaraka Dei Juni 1, 2023, katika Uwanja wa Moi,...

Washukiwa wa uvamizi wa shamba la familia ya Kenyatta kufikishwa mahakamani

NA CHARLES WASONGA WAZIRI wa Usalama wa Ndani Profesa Kithure Kindiki mnamo Jumatano, Mei 31, 2023 ametangaza kuwa washukiwa kadha...

Mukumu: Machogu aahidi fidia ya Sh400,000 kwa kila familia iliyopoteza mtoto

NA COLLINS OMULO WAZIRI wa Elimu Ezekiel Machogu amesema familia za wanafunzi wa Shule ya Wasichana ya Sacred Heart Mukumu walioaga...