• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 8:27 PM

Serikali yatwaa Sh102 milioni alizopokea mwanadada kutoka kwa mpenziwe mzungu

NA RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu imeruhusu serikali kutwaa Sh102 milioni ambazo raia wa Ubelgiji alimtumia mwanafunzi wa kike kama zawadi...

Hospitali ya watoto ya Gertrude’s yaahidi kuboresha huduma

NA LAWRENCE ONGARO HOSPITALI ya watoto ya Gertrude's imeahidi kuboresha huduma za matibabu kwa wagonjwa. Mnamo Jumamosi, Mei 20, 2023...

Waliokamatwa kwenye msako mkali Mukuru kufikishwa kortini Alhamisi

NA SAMMY KIMATU WASHUKIWA 37 wanatarajiwa kufikishwa mahakamani mnamo Alhamisi baada ya kukamatwa kwenye msako mkali wa polisi...

Akiri kuua mwanawe kutokana na msongo wa mawazo

NA TITUS OMINDE MAMA mwenye umri wa miaka 26 anayeshtakiwa kwa kumdunga kisu na kumuua mwanawe wa miaka miwili, atazuiliwa kwa siku 21...

Jaji ajiondoa kusikiliza kesi ya ufisadi

Na RICHARD MUNGUTI JAJI David Majanja amejiondoa katika kesi ambapo msajili mkuu wa Idara ya Mahakama Bi Anne Amadi ameshtakiwa kwa...

Mbunge Alice Ng’ang’a atoa basari, aahidi kutafutia wauguzi kazi

NA LAWRENCE ONGARO MBUNGE wa Thika Bi Alice Ng'ang'a amesema ana mpango wa kutafutia wauguzi wenye ujuzi kazi ajira ili wajichumie...

Ruto amteua mke wa Chebukati awe mwenyekiti wa CRA

NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto amemtunuku mkewe aliyekuwa mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Wafula Chebukati,...

Rais Ruto aongoza mkutano wa kundi la Wabunge na Maseneta wa Kenya Kwanza katika Ikulu ya Nairobi

NA CHARLES WASONGA  RAIS William Ruto leo Jumanne, Mei 23, 2023, ameongoza mkutano wa Kundi la Wabunge wa Kenya Kwanza katika Ikulu ya...

Masaibu ya mhubiri Ezekiel yasikitisha wakazi Ngodhe

WYCLIFFE NYABERI Na RICHARD MUNGUTI WAKAZI wa Kisiwa cha Ngodhe katika Ziwa Victoria wangali wamepigwa na butwaa kuhusiana na masaibu...

Wito akina mama wafanye biashara ili kujikimu

Na WINNIE ATIENO MBUNGE wa Nyali Bw Mohammed Ali na Mwakilishi wa Wanawake Kaunti ya Mombasa, Bi Zamzam Mohammed wamewasihi wanawake...

Migogoro ya kisiasa kati ya magavana na manaibu wao yaenea

NA WAANDISHI WETU IMEIBUKA kuwa teuzi muhimu na upendeleo wa kiukoo ni miongoni mwa masuala yanayosababisha vuta nikuvute kati ya...

Madhehebu: Kamati teule kupendekeza Bunge libuni sheria madhubuti

NA ALEX KALAMA  KAMATI teule ya Seneti iliyobuniwa kufanya uchunguzi kuhusu matukio ya maafa ya Shakahola katika Kaunti ya Kilifi,...