• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 8:55 AM

Dereva ashtakiwa kwa kuiba sukari ya Sh3.2 milioni

NA RICHARD MUNGUTI DEREVA ameshtakiwa kuiba sukari ya thamani ya Sh3 milioni. Sammy Kiplagat Yego alikana kwamba aliiba sukari ya...

Polisi wamsaka mmiliki wa lori lililosafirisha bangi

NA JACOB WALTER MAAFISA wa usalama wanamsaka mmiliki wa lori lililokamatwa likibeba magunia 64 ya bangi ya thamani ya Sh45 milioni...

Kafyu Baringo, Pokot Magharibi na Elgeyo Marakwet haitasitishwa – serikali yashikilia

FLORAH KOECH Na CHARLES WASONGA SERIKALI imeshikilia kuwa kafyu iliyowekwa katika kaunti tatu zilizokumbwa na mapigano kaskazini mwa...

Ndege ya kwanza yapeleka miraa baada ya mkataba wa marais

NA RICHARD MUNGUTI NDEGE ya kwanza kupeleka miraa Mogadishu iliondoka Jumapili asubuhi wiki moja baada ya Rais Uhuru Kenyatta na mwenzake...

Matiang’i, Kibicho wajibu wakosoaji

NA WYCLIFFE NYABERI WAZIRI wa Usalama wa Ndani Dkt Fred Matiang'i na katibu wa wizara hiyo Dkt Karanja Kibicho wamesema kelele za...

Pwani ni ngome ya Raila, utafiti wa Infotrak waonyesha

NA MARY WANGARI CHAMA cha Orange Democratic Movement (ODM) kinachoongozwa na mpeperushaji bendera wa Muungano wa Azimio La Umoja-One...

Unga waanza kuuzwa Sh100 jijini Nairobi

NA CHARLES WASONGA SIKU moja baada ya Rais Uhuru Kenyatta kutangaza kuwa serikali imetoa ruzuku kuchochea bei ya unga kupungua hadi...

Mbakaji aliyenajisi kanisani asukumwa jela miaka 45

NA RICHARD MUNGUTI MWANAMUME aliyembaka msichana mwenye umri wa miaka miwili katika Kanisa moja eneo la Zimmerman, Nairobi amehukumiwa...

Matiang’i aonya viongozi dhidi ya kufadhili magenge Pwani

NA WINNIE ATIENO WAZIRI wa usalama, Dkt Fred Matiang’i, ameonya kuna wanasiasa katika kaunti mbili za Pwani wanaopanga kutumia magenge...

Kusema ‘hatupangwingwi’ si uchochezi – mahakama

NA RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu ilifutilia mbali sheria ya kupiga marufuku na kuharamisha maneno "hatupangwingwi" na "watajua...

Ashtakiwa kwa kuiba taa ya gari katika kituo cha polisi

NA RICHARD MUNGUTI MWANAMUME aliyefumaniwa akiiba vipuri vya gari la Serikali lililoegeshwa katika kituo cha polisi cha Kilimani...

Wapishi ndani kwa wizi wa chakula cha shule

NA RICHARD MUNGUTI WAPISHI wawili katika shule ya msingi ya Nairobi Primary waliokiri kuiba vyakula vilivyo na thamani ya Sh3,000...