NA RICHARD MUNGUTI DEREVA ameshtakiwa kuiba sukari ya thamani ya Sh3 milioni. Sammy Kiplagat Yego alikana kwamba aliiba sukari ya...
NA JACOB WALTER MAAFISA wa usalama wanamsaka mmiliki wa lori lililokamatwa likibeba magunia 64 ya bangi ya thamani ya Sh45 milioni...
FLORAH KOECH Na CHARLES WASONGA SERIKALI imeshikilia kuwa kafyu iliyowekwa katika kaunti tatu zilizokumbwa na mapigano kaskazini mwa...
NA RICHARD MUNGUTI NDEGE ya kwanza kupeleka miraa Mogadishu iliondoka Jumapili asubuhi wiki moja baada ya Rais Uhuru Kenyatta na mwenzake...
NA WYCLIFFE NYABERI WAZIRI wa Usalama wa Ndani Dkt Fred Matiang'i na katibu wa wizara hiyo Dkt Karanja Kibicho wamesema kelele za...
NA MARY WANGARI CHAMA cha Orange Democratic Movement (ODM) kinachoongozwa na mpeperushaji bendera wa Muungano wa Azimio La Umoja-One...
NA CHARLES WASONGA SIKU moja baada ya Rais Uhuru Kenyatta kutangaza kuwa serikali imetoa ruzuku kuchochea bei ya unga kupungua hadi...
NA RICHARD MUNGUTI MWANAMUME aliyembaka msichana mwenye umri wa miaka miwili katika Kanisa moja eneo la Zimmerman, Nairobi amehukumiwa...
NA WINNIE ATIENO WAZIRI wa usalama, Dkt Fred Matiang’i, ameonya kuna wanasiasa katika kaunti mbili za Pwani wanaopanga kutumia magenge...
NA RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu ilifutilia mbali sheria ya kupiga marufuku na kuharamisha maneno "hatupangwingwi" na "watajua...
NA RICHARD MUNGUTI MWANAMUME aliyefumaniwa akiiba vipuri vya gari la Serikali lililoegeshwa katika kituo cha polisi cha Kilimani...
NA RICHARD MUNGUTI WAPISHI wawili katika shule ya msingi ya Nairobi Primary waliokiri kuiba vyakula vilivyo na thamani ya Sh3,000...