• Nairobi
  • Last Updated April 16th, 2024 1:25 PM

Uhuru atetea hatua yake kuelekeza baadhi ya taasisi, mashirika kusimamiwa na idara ya jeshi

NA SAMMY WAWERU RAIS Uhuru Kenyatta ametetea hatua yake kugeuza baadhi ya taasisi na mashirika ya serikali kuongozwa na maafisa wa...

Jamii yataka nayo inufaike kwa mrabaha unaotokana na madini

NA SIAGO CECE TAKRIBAN wakazi 1,500 waliohamishwa ili kutoa nafasi kwa uchimbaji madini eneo la Kwale, wameitaka serikali iwajumuishe...

Serikali yaendeleza marufuku dhidi ya ukataji mikoko

NA SIAGO CECE SERIKALI imetangaza kuwa marufuku dhidi ya ukataji mikoko yataendelea kwa miaka mitano. Hii ni baada ya kubainika kuwa...

Wezi wa bidhaa za stima ndani miezi tisa

NA RICHARD MUNGUTI WEZI wawili walioharibu mita ya stima katika mtaa wa Kangemi, Nairobi wametozwa faini ya Sh30,000 ama watumikie...

Ashtakiwa kwa kupatikana akiwa na viatu na sweta mali ya serikali bila idhini

NA RICHARD MUNGUTI KIBARUA aliyekutwa akiwa amehifadhi viatu vya idara ya majeshi na sweta ameshtakiwa. Emmanuel Simiyu aliyefikishwa...

Mawaziri wakwepa kikao cha Dkt Ruto kujadili masuala ya usimamizi wa fedha katika serikali za kaunti

NA CHARLES WASONGA MAWAZIRI wanaoegemea mrengo wa muungao wa Azimio La Umoja-One Kenya Jumanne, Mei 31, 2022 walikwepa mkutano wa Baraza...

Polisi hawakukosea kupiga risasi wauzaji wa bangi – IPOA

NA LEONARD ONYANGO MAMLAKA ya Kufuatilia Utendakazi wa Polisi (IPOA) imewaondolea lawama maafisa wa polisi waliowapiga risasi wanaume...

Kwekwe abanwa kuhusu ukuta wa Sh24.9 milioni

NA DAVID MWERE KATIBU wa idara ya urekebishaji tabia, inayosimamia kitengo cha magereza, Bi Safina Kwekwe, amemulikwa kuhusu kandarasi...

Tume yatishia kutorejeshea Malala ulinzi wa polisi

NA KALUME KAZUNGU TUME ya Huduma za Polisi nchini (NPSC) imemfokea seneta wa Kakamega, Cleopas Malala na kuapa kutomrudishia maafisa wa...

Mvutano wa Haji na Kinoti kufaa wahalifu

NA LEONARD ONYANGO WAKENYA wako katika hatari ya kukosa haki kortini kutokana na vita vya ubabe kati ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma...

Wanne wazuiliwa siku saba kwa kutumia kileo kuwapumbaza abiria

NA RICHARD MUNGUTI WANAUME wanne watazuiliwa kwa siku saba kwa kuhojiwa kubaini ikiwa walihusika katika kuwapumbaza wasafiri kutoka...

Wauzao ‘gesi hewa’ wajipata taabani

NA RICHARD MUNGUTI WASHUKIWA wawili wa ulaghai wameshtakiwa kupokea Sh100,000 kwa kudanganya walikuwa na uwezo wa kumuuzia...