• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 9:40 PM

Kanisa lajitenga na mwanamume anayedaiwa kuwachoma wavulana 3

NA FLORAH KOECH KANISA la Deliverance limekanusha kuwa mwanamume aliyedaiwa kuwachoma wavulana watatu wa shule kwa kushukiwa kuiba keki...

Sonko apewa siku 21 kujibu kesi ya kutelekeza mtoto

NA JOSEPH WANGUI MAHAKAMA imempa makataa ya siku 21 aliyekuwa gavana wa Nairobi, Mike Mbuvi Sonko, kujibu kesi iliyowasilishwa na...

Aliyedaiwa kuua mkewe aachwa kwa dhamana

NA ALEX KALAMA MAHAKAMA Kuu ya Malindi imemwachilia kwa dhamana raia wa Uingereza aliyeshtakiwa kwa madai ya kumuua mkewe. Bw Simon...

Aliyeiba kipakatalishi kanisani atupwa jela miaka mitatu bila faini

NA JOSEPH NDUNDA MWANAMUME mmoja aliyeiba kipakatalishi na vifaa vingine vyenye thamani ya Sh110,000 kanisani baada ya kuhudhuria misa...

Walalamikia kelele za maeneo ya burudani katika mitaa ya makazi

NA SIAGO CECE WAKAZI wa Diani wamelalamikia kelele kutoka kwa vilabu na sehemu za burudani zilizo karibu na makazi ya watu. Kupitia...

Kituo cha uchinjaji na utayarishaji wa nyama ya kuku kujengwa Nairobi

NA SAMMY WAWERU SERIKALI ya Kaunti ya Nairobi imesema itajenga kituo cha kuchinjia kuku ili kuafikia ubora kiafya wa nyama...

Mazao yanayonawiri maeneo kame yana mchango mkubwa kimaendeleo

NA SAMMY WAWERU MAENEO ya jangwa na nusu jangwa yanaunda asilimia 80 ya ardhi ya Kenya. Mimea inayostahimili makali ya ukame na...

Washukiwa 9 wa wizi wa mabavu watoroka seli za polisi Thika

NA LAWRENCE ONGARO WASHUKIWA tisa wa wizi wa mabavu waliozuiliwa kwenye seli za kituo cha polisi cha Thika, walitoroka na msako...

Mtandao wa BrighterMonday wapendelewa zaidi na watafutaji ajira nchini, yasema ripoti

NA WINNIE ONYANDO JUKWAA la mtandao la kutafuta ajira la BrighterMonday limeibuka kuwa maarufu na lenye kupendwa na mamilioni ya...

Matiang’i ashutumu sheria kwa kuruhusu washukiwa kuwania

NA ERIC MATARA WAZIRI wa Usalama Fred Matiang’i ameonya kuhusu uwezekano wa wahalifu kuchaguliwa katika viti mbalimbali kwenye Uchaguzi...

Wafugaji maeneo kame walia serikali imewapuuza

NA SAMMY WAWERU WAFUGAJI kutoka maeneo kame nchini wamelalamikia kuendelea kpuuzwa na serikali mifugo yao ikihangaishwa na kiangazi na...

Maskwota wa Mavoloni wataka usaidizi kutoka kwa serikali

NA LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa kijiji cha Mavoloni, Yatta, kaunti ya Machakos, wametoa malalamiko baada ya kufurushwa kutoka maeneo ya...