Na LAWRENCE ONGARO SERIKALI inastahili kuingilia kati ili kujua kiini cha mauaji ya kiholela yanayozidi kushuhudiwa nchini, amesema...
Na SAMMY KIMATU MWANAMKE mmoja aliponea kifo kwa tundu la sindano baada ya jaribio la kupigwa risasi na ofisa aliyedaiwa kuwa ni polisi...
Na SAMMY KIMATU MIKAKATI mizuri iliyowekwa na kubuni mbinu mpya kudhibiti usalama katika eneo la polisi la Makadara msimu wa sherehe...
Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa kaunti ya Kiambu, wameachwa na huzuni tele baada ya kupokea habari za kutokea kwa kifo cha mwanasheria...
Na SAMMY KIMATU FAMILIA zaidi ya 300 zilizopoteza makao yao baada ya moto kuteketeza nyumba zao katika mtaa wa mabanda wa Mukuru-Kayaba,...
KUNA hofu kwamba bei ya unga wa mahindi itapanda zaidi kufuatia hatua ya Bodi ya Kitaifa ya Nafaka na Mazao (NCPB) kuongeza bei ya kununua...
Na SAMMY WAWERU MWAKA mpya wa 2022 ulikaribishwa kwa staili, baadhi wakikongamana katika maeneo ya kuabudu, burudani, baa na...
Na LAWRENCE ONGARO WAMILIKI wengi wa viwanda wanangoja kushuka kwa bei ya umeme ili waweze kuongeza faida kwa bidhaa zao. Hivi majuzi...
Na WAANDISHI WETU WAZIRI wa Elimu Profesa George Magoha amepongeza hatua ya Shule ya Upili ya Maranda Boys ya kuwafanyia wanafunzi wake...
Na GERALD ANDAE BEI ya unga wa mahindi inatarajiwa kupanda baada ya Bodi ya Kitaifa ya Nafaka na Mazao (NCPB), kuongeza bei ya mahindi...
Na OSCAR KAKAI ZAIDI ya wasichana 5,000 katika Kaunti ya Pokot Magharibi wameokolewa kutoka kwa ukeketaji na ndoa za mapema katika...
Na KNA VIONGOZI wa kisiasa Rift Valley wameapa kuendesha kampeni za amani kabla, wakati na baada ya uchaguzi mkuu...