• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 6:50 AM

Wamiliki wa matatu wachangamkia kuondolewa kwa kafyu

Na CHARLES WASONGA WAHUDUMU wa matatu wametangaza kuwa watarejelea safari za usiku kuanzia leo Alhamisi baada ya Rais Uhuru Kenyatta...

Jaji mkuu kuapisha majaji sita endapo Rais Uhuru Kenyatta hatawaapisha katika muda wa siku 14

Na RICHARD MUNGUTI MVUTANO kati ya Rais Uhuru Kenyatta na Idara ya Mahakama kuhusu uteuzi wa majaji sita wa mahakama ya rufaa na mahakama...

Ogoti azimwa kusikiza kesi dhidi ya gavana Njuki na mkewe

Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA kuu imemzima hakimu mkuu Douglas Ogoti kusikiza na kuamua kesi ya ufisadi wa Sh34milioni inayomkabili Gavana...

Mjakazi akana kuiba mkufu na pesa za mwajiri wake

Na RICHARD MUNGUTI MJAKAZI aliyetoroka kutoka kwa mwajiri wake ameshtakiwa kwa wizi wa zaidi ya Sh140,000 na mkufu wa thamani ya...

Awara amlewesha Mganda na kumpora Sh130,000

Na RICHARD MUNGUTI MWANAMKE aliyempumbaza mfanya biashara kutoka Uganda kwa kumpa madawa ya kulevya kabla ya kumwibia Sh130,000...

Akamatwa na bastola feki na kutupwa jela

Na RICHARD MUNGUTI MSHUKIWA wa ujambazi aliyekamatwa na bastola feki aliyokuwa anatumia kutisha wananchi ameshtakiwa kujiandaa...

Mawaziri wamng’ang’ania Raila shereheni

Na CHARLES WASONGA MAWAZIRI mbalimbali jana walimlaki kwa heshima kuu kiongozi wa ODM, Raila Odinga alipowasili kwa sherehe za kitaifa...

Washukiwa kusalia seli siku 10

WYCLIFFE NYABERI na CHARLES WASONGA WANAUME wanne wanaoshukiwa kuwateketeza wanawake wakongwe kwa tuhuma za uchawi eneo la Marani,...

Korti yaelezwa jinsi mwanamke alivyoibia mfanyabiashara

Na JOSEPH NDUNDA MFANYABIASHARA raia wa Uganda aliibiwa Sh130,000 na mwanamke saa chache baada ya kukutana kwa mara ya kwanza katika baa...

Obado na watoto wake wanne kujibu mashtaka ya ufisadi wa Sh73.4M

Na RICHARD MUNGUTI GAVANA wa Migori Okoth Obado na watoto wake wanne na washtakiwa wengine 10 watajibu mashtaka upya Alhamisi (oktoba 21)...

Watu 26 wanaoishi na ulemavu Kiambu wapokea vifaa vya kazi kutoka NFDK

Na LAWRENCE ONGARO WALEMAVU wapatao 26 kutoka Kiambu, wamenufaika na vifaa vya kazi kutoka kwa mfuko wa Hazina ya Kitaifa Maalum kwa...

Kibicho aonya wahuni wanaopanga kusambaratisha sherehe za Mashujaa Kirinyaga

Na SAMMY WAWERU SERIKALI imetoa onyo kali kwa wahuni wanaopanga kuzua fujo wakati wa maadhimisho ya Sikukuu ya Mashujaa 2021,...