• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 1:08 PM

Viongozi wa kanisa warudishia mbunge pesa alizochangisha

Na WYCLIFFE NYABERI KANISA Katoliki, Dayosisi ya Kisii, limemrudishia Mbunge wa Dagoretti Kaskazini Simba Arati mchango wake wa Sh...

Siku ya Ukimwi Duniani: Vijana washauriwa wawe mstari wa mbele kuelimisha jamii kuhusu Ukimwi

Na LAWRENCE ONGARO VIJANA wameshauriwa kujiepusha na vitendo vya ngono kiholela ili waepuke Ukimwi na magonjwa mengine ya...

Mwanamke ashukiwa kuwa gaidi

Na MARY WANGARI WAPELELEZI kutoka Idara ya Uchunguzi wa Jinai (DCI) mnamo Jumatano, Disemba 1, walimkamata na kumtia kizuizini mwanamke...

KRA kupiga mnada mizigo iliyoachwa

Na ANTHONY KITIMO MAMLAKA ya Ukusanyaji Ushuru ya Kenya (KRA) imepanga kupiga mnada mizigo ambayo imechelewa kuchukuliwa katika Bandari...

Wakili wa Serikali aagiza Miguna aruhusiwe kurudi

Na WANDERI KAMAU WAKILI Mkuu wa Serikali, Bw Ken Ogeto, ameziagiza wizara za Mashauri ya Kigeni na Usalama wa Ndani kuhakikisha wakili...

Safari za treni kwa Nyanza, Magharibi sasa zanukia

Na BONFACE OTIENO ABIRIA wanaosafiri kutoka Mombasa hadi Kisumu, wataanza kutumia gari moshi usiku na mchana mwezi ujao, baada ya reli...

Corona: Wakfu wa Aga Khan watoa msaada

Na WYCLIFFE NYABERI WAKFU wa Aga Khan, umetoa msaada wa vifaa vya kujikinga dhidi ya corona kwa kaunti tano. Kwa ushirikiano na...

Mikakati ya serikali ilinusuru Kenya kwa corona – Uhuru

Na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta amesema kwamba mikakati ya serikali yake iliokoa nchi mwaka 2020, janga la corona lilipovuruga...

Mafuriko yashuhudiwa mjini Thika

Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa kijiji cha Kisii mjini Thika wanaiomba serikali kufanya juhudi kurekebisha mabomba ya majitaka wakati huu...

Jinsi maafisa, viongozi walihusika katika sakata ya uuzaji wa ardhi ya shirika la reli South B

Na SAMMY KIMATU IMEFICHUKA kwamba maafisa wa utawala walishirikiana na wenyeviti wa mitaa ya mabanda ya Mukuru, South B katika sakata ya...

Kinoti lazima aende jela, asisitiza jaji

Na RICHARD MUNGUTI JUHUDI za Mkurugenzi wa Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) George Kinoti za kukwepa jela ziliambulia patupu Jumatatu...

Wanafunzi 2,000 Mukuru wapigwa jeki kielimu

Na SAMMY KIMATU WANAFUNZI zaidi ya 2,000 wamepigwa jeki kielimu baada ya kampuni moja kuahidi kutoa msaada kwa watoto hao eneo la...