• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 10:08 PM

Daraja jipya latarajiwa kuinua uchumi wa Kilifi

Na MAUREEN ONGALA WAKAZI wa maeneo ya Baricho na Lango Baya katika Kaunti ya Kilifi wameelezea matumaini kwamba mradi unaoendelea wa...

Kenya yapokonya wavuvi wa China leseni kwa kutesa Wakenya

Na ANTHONY KITIMO KENYA imefutilia mbali leseni za meli sita za uvuvi za China kwa madai kwamba zilikuwa zikidhulumu mabaharia wa Kenya...

Matumaini tele kiwanda cha sukari kianze kunguruma tena

Na SHABAN MAKOKHA KIWANDA cha sukari cha Mumias ambacho hakijakuwa kikihudumu kwa muda wa miaka mitatu baada ya kuporomoka, huenda...

Unywaji pombe unachangia matatizo ya akili – Nacada

Na WINNIE ATIENO WAKENYA wameshauriwa wasinywe pombe na kutumia mihadarati ambayo imetajwa kuchangia maradhi ya akili nchini. Prof...

UNESCO kufanya ushirikiano na vyuo vikuu viwili nchini

Na LAWRENCE ONGARO SHIRIKA la UNESCO katika Afrika Mashariki na Kati lina umuhimu wake wa kujumuisha wanafunzi wa vyuo vikuu...

KDF kusaidia kukabiliana na ukame

Na FLORAH KOECH MAAFISA wa jeshi la ulinzi nchini (KDF) watashiriki katika mipango ya kukabiliana na makali ya ukame kwa kuchimba visima...

Mwenye mazoea ya kuibia wenye maduka ya Mpesa achapwa kama nguruwe

Na RICHARD MUNGUTI MSHUKIWA wa wizi aliyetoroka mahakama ya Kibera Julai mwaka uliopita jana alipata kichapo cha nguruwe aliporudi kuiba...

Maafisa watatu wakuu wa polisi kujua hatma yao octoba 28

Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA ya Milimani Nairobi itaamua Oktoba 28 iwapo itawasukuma maafisa watatu wakuu wa polisi kwa kukaidi agizo la...

Tahadhari yatolewa kuhusu vifaa ghushi vya kupima Ukimwi

Na ANGELINE OCHIENG TAHADHARI imetolewa kuhusu kuibuka kwa vifaa ghushi vya kufanyia vipimo vya virusi vya Ukimwi ambavyo vimeingizwa...

Afueni bei ya kahawa ikiimarika

Na GERALD ANDAE MAPATO ya kahawa katika mwaka wa kifedha wa 2019/2020 yameongezeka kwa asilimia 52. Ongezeko hili lilitokana na...

Are You Able To Be Completamente Genuine Within Online Dating Profile ?

Quando sto cercando tramite incontri gay messina su internet utenti , o check out the pages of guys who've mi ha inviato un'email -per il...

Kobia ataka maafisa waadilifu NGEC

Na KNA WAZIRI wa Utumishi wa Umma, Jinsia, Miradi Maalum na Masuala ya Wazee, Prof Margaret Kobia ametoa wito kwa jopo la watu saba...