• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 11:42 PM

Matiang’i chini ya ulinzi mkali

Na STEVE NJUGUNA WAZIRI wa Usalama, Dkt Fred Matiang’i alishuhudia madhila yanayowakumba wakazi wa eneo la Ol Moran, majangili...

Serikali yabuni kaunti ndogo mpya

Na STEPHEN NJUGUNA SERIKALI imebuni eneo jipya la utawala katika Kaunti ya Laikipia katika juhudi za kudhibiti visa vya utovu wa usalama...

Waislamu wamlilia DCI akomeshe utekaji

Na WINNIE ONYANDO VIONGOZI wa dini ya Kiislamu Ijumaa waliwasilisha malalamishi kwa ofisi ya Mkurugenzi wa Uchunguzi wa Makosa ya Jinai...

Corona yachangia wanafunzi 400,000 kukatiza masomo

Na FAITH NYAMAI ZAIDI ya wanafunzi 400,000 wa shule za msingi na upili walikatiza masomo yao kati ya Machi 2020 na Machi 2021 kutokana...

DPP apewa siku tatu kuwasilisha ushahidi katika kesi dhidi ya maafisa watatu wakuu wa polisi

Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Noordin Haji  amepewa siku tatu kuwasilisha  ushahidi katika kesi dhidi ya...

Sheria maalum zawekwa kudhibiti sekta ya ujenzi Kiambu

Na LAWRENCE ONGARO KUFUATIA kuporomoka kwa jumba moja eneo la Kinoo, Kaunti ya Kiambu hivi majuzi, Gavana James Nyoro na maafisa wakuu...

IPOA yaripoti ongezeko la idadi ya malamishi dhidi ya polisi

Na CHARLES WASONGA IDADI ya malalamishi yanayowasilishwa na umma dhidi ya maafisa wa polisi iliongezeka kwa kiwango cha asilimia 83.4...

Mjukuu wa Moi adai hana uwezo kulea watoto

Na JOSEPH OPENDA MJUKUU wa aliyekuwa Rais (mstaafu) Mzee Daniel Moi, anayekabiliwa na kesi inayohusu Sh1 milioni kila mwezi kugharamia...

Wabunge, maseneta wataka wanajeshi wapelekwe Laikipia kutuliza hali

Na CHARLES WASONGA WABUNGE na Maseneta wameitaka Serikali kuwapeleka wanajeshi wa Kenya - KDF - katika Kaunti ya Laikipia kupiga jeki...

Wafyonzaji wa mafuta kutoka kwenye bohari wakamatwa jijini

Na SAMMY KIMATU WASHUKIWA kumi wamekamatwa na polisi kwa kudaiwa kufyonza mafuta katika bohari moja katika Eneo la Viwanda, Kaunti ya...

Kamket alala seli tena Lempurkel akijitetea

Na WAANDISHI WETU MBUNGE wa Tiaty, Bw William Kasait Kamket aliyekamatwa Jumatano kuhusiana na mashambulio ya ujangili Kaunti ya...

Lempurkel akana shtaka la kueneza chuki Laikipia

Na RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA Mbunge wa Laikipia kaskazini Bw Mathew Lempurkel alishtakiwa Alhamisi kwa matamshi ya kuchochea uhasama wa...