• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 3:53 PM

Wakenya ‘wasukuma’ juu bei ya mafuta TZ

Na IAN BYRON MADEREVA kutoka Kenya ambao wamekuwa wakikimbia nchini Tanzania kununua mafuta, walishtuka baada ya vituo vya kuuza petroli...

Mshukiwa wa unajisi aponea kuteketezwa Kambi Moto

Na SAMMY KIMATU KULIKUWA na kizaazaa kwenye eneo la Kambi Moto mtaani Kayaba, tarafa ya South B, kaunti ndogo ya Starehe polisi...

Dereva amrejeshea mwanafunzi laputopu na Sh20,000 alizosahau kwenye matatu

Na LAWRENCE ONGARO DEREVA amemrejeshea mwanafunzi wa chuo kimoja laputopu na Sh20,000 alizosahau kwenye matatu. Bw Baselio Kimani...

Kamati ya bunge lawamani kuhusu mzozo wa ardhi

Na LUCY MKANYIKA WAMILIKI wa ranchi ya Ndara B katika Kaunti ya Taita Taveta, wamekashifu Bunge la Kitaifa kwa kuchochea mzozo wa ardhi...

OCPD apumzishwa kwa heshima zote

Na KALUME KAZUNGU AFISA Mkuu wa Polisi (OCPD) wa Lamu ya Kati, Bw Samuel Nyawa Murinzi, ambaye alifariki juma lililopita, alizikwa...

NCIC yachunguza kisa cha Wanjigi kupigwa mawe alipozuru Migori

Na WINNIE ONYANDO TUME ya Uwiano na Utangamano (NCIC), inachunguza kisa ambapo mwanasiasa wa Chama cha ODM, Jimi Wanjigi alipigwa mawe...

Maafisa wanne wa polisi wanaoshtakiwa kwa mauaji ya wakili Willy Kimani

Na RICHARD MUNGUTI MAAFISA wanne wa polisi wa utawala wanaoshtakiwa pamoja na kachero kwa mauaji ya wakili Willy Kimani miaka mitano...

Pendekezo barabara ya jiji la Nairobi ipewe jina la Raila

Na COLLINS OMULO KIONGOZI wa Chama cha Orange Democratic Movement (ODM) Raila Odinga huenda akawa kiongozi mpya kupata barabara...

Wenye ardhi inayohusishwa na Ruto Laikipia hawajulikani

Na DENNIS MATARA ARDHI ya ADC Mutara, Kaunti ya Laikipia ambayo imehusihwa na Naibu Rais William Ruto, imekodishwa kwa watu kadhaa...

Wachungaji kutoka Thika Mashariki watakasa eneo la mauti

Na LAWRENCE ONGARO VIONGOZI wa makanisa manane na waumini walikongamana kwenye eneo la mauti katika kijiji cha Gatuanyaga, Kaunti ya...

Njaa: Serikali kuanza kusambaza mlo, maji

Na WINNIE ATIENO SERIKALI kuu itaanza kuwapa msaada wa chakula na maji wanaoathiriwa na njaa kuanzia wiki ijayo, ili kuokoa maisha baada...

Amani: Kalonzo kutuzwa leo Dubai

Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka leo Jumatatu atakuwa miongoni mwa watu watakaopokezwa tuzo mbali mbali Dubai...