• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 5:39 PM

Haji arejeshea tena EACC faili za sakata ya Kemsa

Na AMINA WAKO KWA mara nyingine, Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP), Noordin Haji ameirejeshea Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi...

Wasiwasi KRA ikifunga akaunti za chuo kikuu kwa deni kuu

Na BERNARD MWINZI MAMLAKA ya Ukusanyaji Ushuru (KRA), imefunga akaunti za Chuo Kikuu cha Kenyatta (KU), na kusababisha wasiwasi miongoni...

Kesi ya Jumwa yaahirishwa wakili Ombeta amalize kesi ya mauaji

Na MWANDISHI WETU MAHAKAMA KUU imeagiza kesi ya ufisadi inayomkabili mbunge wa Malindi, Aisha Jumwa, iahirishwe hadi kesi nyingine...

Kemsa lawamani tena hospitali zikikosa dawa

IRENE MUGO na ELIZABETH OJINA HOSPITAL katika kaunti kadhaa zimekumbwa na uhaba wa dawa zikiwemo za kukabili maambukizi ya...

Kamket huru kwa bondi, azuiwa kukanyaga guu Baringo

Na JOSEPH OPENDA MAHAKAMA moja ya Nakuru Ijumaa ilimwachilia huru Mbunge wa Tiaty, William Kasait Kamket kwa dhamana ya...

Walimu 3 waliohitimu PhD wafunza katika chekechea, Gredi ya Kwanza

Na RUSHDIE OUDIA WASOMI watatu waliohitimu na uzamifu (PhD) wamelazimika kufunza shule za chekechea na msingi kwa kukosa kazi katika...

Wakfu wa Jungle Foundation watoa mafunzo ya huduma ya kwanza kwa wanafunzi Kiambu

Na LAWRENCE ONGARO WAKFU wa Jungle Foundation umejitolea kuhamasisha wanafunzi katika shule za msingi kuhusu utoaji wa huduma ya kwanza...

Matiang’i chini ya ulinzi mkali

Na STEVE NJUGUNA WAZIRI wa Usalama, Dkt Fred Matiang’i alishuhudia madhila yanayowakumba wakazi wa eneo la Ol Moran, majangili...

Serikali yabuni kaunti ndogo mpya

Na STEPHEN NJUGUNA SERIKALI imebuni eneo jipya la utawala katika Kaunti ya Laikipia katika juhudi za kudhibiti visa vya utovu wa usalama...

Waislamu wamlilia DCI akomeshe utekaji

Na WINNIE ONYANDO VIONGOZI wa dini ya Kiislamu Ijumaa waliwasilisha malalamishi kwa ofisi ya Mkurugenzi wa Uchunguzi wa Makosa ya Jinai...

Corona yachangia wanafunzi 400,000 kukatiza masomo

Na FAITH NYAMAI ZAIDI ya wanafunzi 400,000 wa shule za msingi na upili walikatiza masomo yao kati ya Machi 2020 na Machi 2021 kutokana...

DPP apewa siku tatu kuwasilisha ushahidi katika kesi dhidi ya maafisa watatu wakuu wa polisi

Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Noordin Haji  amepewa siku tatu kuwasilisha  ushahidi katika kesi dhidi ya...