Na AMINA WAKO KWA mara nyingine, Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP), Noordin Haji ameirejeshea Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi...
Na BERNARD MWINZI MAMLAKA ya Ukusanyaji Ushuru (KRA), imefunga akaunti za Chuo Kikuu cha Kenyatta (KU), na kusababisha wasiwasi miongoni...
Na MWANDISHI WETU MAHAKAMA KUU imeagiza kesi ya ufisadi inayomkabili mbunge wa Malindi, Aisha Jumwa, iahirishwe hadi kesi nyingine...
IRENE MUGO na ELIZABETH OJINA HOSPITAL katika kaunti kadhaa zimekumbwa na uhaba wa dawa zikiwemo za kukabili maambukizi ya...
Na JOSEPH OPENDA MAHAKAMA moja ya Nakuru Ijumaa ilimwachilia huru Mbunge wa Tiaty, William Kasait Kamket kwa dhamana ya...
Na RUSHDIE OUDIA WASOMI watatu waliohitimu na uzamifu (PhD) wamelazimika kufunza shule za chekechea na msingi kwa kukosa kazi katika...
Na LAWRENCE ONGARO WAKFU wa Jungle Foundation umejitolea kuhamasisha wanafunzi katika shule za msingi kuhusu utoaji wa huduma ya kwanza...
Na STEVE NJUGUNA WAZIRI wa Usalama, Dkt Fred Matiang’i alishuhudia madhila yanayowakumba wakazi wa eneo la Ol Moran, majangili...
Na STEPHEN NJUGUNA SERIKALI imebuni eneo jipya la utawala katika Kaunti ya Laikipia katika juhudi za kudhibiti visa vya utovu wa usalama...
Na WINNIE ONYANDO VIONGOZI wa dini ya Kiislamu Ijumaa waliwasilisha malalamishi kwa ofisi ya Mkurugenzi wa Uchunguzi wa Makosa ya Jinai...
Na FAITH NYAMAI ZAIDI ya wanafunzi 400,000 wa shule za msingi na upili walikatiza masomo yao kati ya Machi 2020 na Machi 2021 kutokana...
Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Noordin Haji amepewa siku tatu kuwasilisha ushahidi katika kesi dhidi ya...