• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 9:40 PM

IPOA yaripoti ongezeko la idadi ya malamishi dhidi ya polisi

Na CHARLES WASONGA IDADI ya malalamishi yanayowasilishwa na umma dhidi ya maafisa wa polisi iliongezeka kwa kiwango cha asilimia 83.4...

Mjukuu wa Moi adai hana uwezo kulea watoto

Na JOSEPH OPENDA MJUKUU wa aliyekuwa Rais (mstaafu) Mzee Daniel Moi, anayekabiliwa na kesi inayohusu Sh1 milioni kila mwezi kugharamia...

Wabunge, maseneta wataka wanajeshi wapelekwe Laikipia kutuliza hali

Na CHARLES WASONGA WABUNGE na Maseneta wameitaka Serikali kuwapeleka wanajeshi wa Kenya - KDF - katika Kaunti ya Laikipia kupiga jeki...

Wafyonzaji wa mafuta kutoka kwenye bohari wakamatwa jijini

Na SAMMY KIMATU WASHUKIWA kumi wamekamatwa na polisi kwa kudaiwa kufyonza mafuta katika bohari moja katika Eneo la Viwanda, Kaunti ya...

Kamket alala seli tena Lempurkel akijitetea

Na WAANDISHI WETU MBUNGE wa Tiaty, Bw William Kasait Kamket aliyekamatwa Jumatano kuhusiana na mashambulio ya ujangili Kaunti ya...

Lempurkel akana shtaka la kueneza chuki Laikipia

Na RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA Mbunge wa Laikipia kaskazini Bw Mathew Lempurkel alishtakiwa Alhamisi kwa matamshi ya kuchochea uhasama wa...

Maelfu bado wapigania kuenda Saudia

Na MARY WAMBUI LICHA ya simulizi za kuatua moyo kuhusu madhila wanayopitia Saudi Arabia, maelfu ya Wakenya wamekwama Nairobi...

Kero ya stima kupotea bila notisi Zimmerman

Na SAMMY WAWERU BAADHI ya wakazi wa mtaa wa Carwash, Zimmerman, Kaunti ya Nairobi wamelalamikia tabia za kampuni ya kusambaza nguvu za...

Mifuko yatumika kama ushahidi wa mauaji ya wakili Kimani 2016

Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu ilifahamishwa Jumanne kuwa mifuko ya kubebea bidhaa iliyokuwa na chapa ya Mulei's Supermarket...

Wakazi wateketeza lori lililogonga na kuua mwanafunzi

Na GERALD BWISA WAKAZI wenye ghadhabu katika eneo la Likuyani, Kaunti ya Kakamega, Jumanne waliteketeza lori lililogonga na kuua...

Serikali yatahadharisha wafugaji kuhamia kaunti jirani bila muafaka

Na KALUME KAZUNGU WAKUU wa usalama Kaunti ya Lamu wanahofia ongezeko la idadi ya mifugo inayohamishiwa eneo hilo kutoka kaunti jirani za...

Mifuko ya supa ya Mulei ilikutwa ndani ya nyumba ya afisa wa polisi anayeshtakiwa kwa mauaji ya wakili Willie Kimani

Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA kuu ilifahamishwa jana mifuko ya kubebea bidhaa iliyokuwa na chapa cha Mulei Supermarket ilikutwa ndani ya...