Na CHARLES WASONGA IDADI ya malalamishi yanayowasilishwa na umma dhidi ya maafisa wa polisi iliongezeka kwa kiwango cha asilimia 83.4...
Na JOSEPH OPENDA MJUKUU wa aliyekuwa Rais (mstaafu) Mzee Daniel Moi, anayekabiliwa na kesi inayohusu Sh1 milioni kila mwezi kugharamia...
Na CHARLES WASONGA WABUNGE na Maseneta wameitaka Serikali kuwapeleka wanajeshi wa Kenya - KDF - katika Kaunti ya Laikipia kupiga jeki...
Na SAMMY KIMATU WASHUKIWA kumi wamekamatwa na polisi kwa kudaiwa kufyonza mafuta katika bohari moja katika Eneo la Viwanda, Kaunti ya...
Na WAANDISHI WETU MBUNGE wa Tiaty, Bw William Kasait Kamket aliyekamatwa Jumatano kuhusiana na mashambulio ya ujangili Kaunti ya...
Na RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA Mbunge wa Laikipia kaskazini Bw Mathew Lempurkel alishtakiwa Alhamisi kwa matamshi ya kuchochea uhasama wa...
Na MARY WAMBUI LICHA ya simulizi za kuatua moyo kuhusu madhila wanayopitia Saudi Arabia, maelfu ya Wakenya wamekwama Nairobi...
Na SAMMY WAWERU BAADHI ya wakazi wa mtaa wa Carwash, Zimmerman, Kaunti ya Nairobi wamelalamikia tabia za kampuni ya kusambaza nguvu za...
Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu ilifahamishwa Jumanne kuwa mifuko ya kubebea bidhaa iliyokuwa na chapa ya Mulei's Supermarket...
Na GERALD BWISA WAKAZI wenye ghadhabu katika eneo la Likuyani, Kaunti ya Kakamega, Jumanne waliteketeza lori lililogonga na kuua...
Na KALUME KAZUNGU WAKUU wa usalama Kaunti ya Lamu wanahofia ongezeko la idadi ya mifugo inayohamishiwa eneo hilo kutoka kaunti jirani za...
Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA kuu ilifahamishwa jana mifuko ya kubebea bidhaa iliyokuwa na chapa cha Mulei Supermarket ilikutwa ndani ya...