Na WINNIE ONYANDO KAMPUNI ya usafiri wa ndege ya Jambojet jana ilitangaza mipango ya kuanza kutoa huduma za usafiri kwa bei nafuu katika...
Na BRIAN OCHARO ALIYEKUWA diwani wa Wadi ya Junju, Kaunti ya Kilifi, Bw Onesmus Gambo Karisa ameshtakiwa kwa mauaji ya mfanyabiashara,...
Na KALUME KAZUNGU HALI ngumu ya maisha imemsukuma aliyekuwa diwani na mwenyekiti wa baraza la mji wa Lamu, wadhifa ambao ni sawa na wa...
Na STEPHEN ODUOR MWANAMUME katika eneo la Garsen, Kaunti ya Tana River ameshangaza wenyeji kwa kuuza nyumba ya babake akimdai...
Na CHARLES WASONGA SHIRIKA la Utabiri wa Hali ya Anga limeonya kuwa hali ya kiangazi itashuhudiwa maeneo kadha nchini huku likiongeza kuwa...
Na SAMMY KIMATU HUENDA daraja la watu kuvukia kwa miguu lililopangiwa kujengwa na serikali katika mitaa ya mabanda kaunti ndogo ya...
Na WINNIE ATIENO SERIKALI imeungama kudaiwa Sh16 milioni na kampuni ya Ufaransa ambayo hutoa huduma za usalama wa baharini. Waziri wa...
Na WINNIE ATIENO SERIKALI ya Kaunti ya Mombasa imepiga marufuku matibabu ya nyumbani kwa wagonjwa wanaougua Covid-19 baada ya kufichuka...
Na RICHARD MUNGUTI NDUGU wawili Jumatano walishtakiwa kuibia benki iliyofilisika ya Dubai (DBK) Sh154milioni miaka 14 iliyopita. Bw...
Na WINNIE ONYANDO SERIKALI ilitoa Sh17.4 bilioni kama ufadhi wa masomo katika shule zote za umma nchini muhula huu wa kwanza. Katika...
Na VICTOR RABALLA HATIMAYE kuna matumaini kwenye juhudi za ufufuzi wa Kampuni ya Sukari ya Mumias, baada ya wawekezaji kupewa hadi...
NA PIUS MAUNDU KAMISHINA wa Kaunti ya Makueni, Maalim Mohammed amewaonya wamiliki 39 wa baa ambao wanakiuka kafyu na kupuuza kanuni za...