• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 9:35 PM

Karo: Magoha ataka watoto wafukuzwe

DAVID MUCHUNGUH na SIMON CIURI WAZIRI wa Elimu, Prof George Magoha, jana aliwapa maagizo walimu wakuu kuwafukuza wanafunzi ambao wana...

Mvutano wa kuvunja serikali ya Vihiga waendelea

Na DERICK LUVEGA JUMLA ya wapigakura 55,000 wa Vihiga wametia sahihi zao katika ombi la kutaka serikali ya kaunti hiyo ivunjwe, huku...

Covid yalipuka Kisumu wiki baada ya ziara ya Uhuru, Raila

Na WAANDISHI WETU RUSHDIE OUDIA, BENSON AMADALA, BENSON AYIENDA, GEORGE ODIWUOR, DERICK LUVEGA, SHABAN MAKOKHA, VITALIS KIMUTAI na IAN...

Muthama atoa masharti makali kabla ya kuridhiana na Kalonzo

Na PIUS MAUNDU MWENYEKITI wa chama cha UDA, Bw Johnston Muthama ameweka masharti makali kabla ya kushirikiana tena kisiasa na kinara wa...

Hedhi salama bado ni changamoto kwa wasichana shuleni

Na PAULINE ONGAJI UKOSEFU wa misala au vyoo safi shuleni kunachangia katika kudorora kwa masomo miongoni mwa wasichana kote...

Likizo ni muhimu sana kwa afya ya akili ya wanafunzi

  MOSES KAPKIAI, Eldoret UTAFITI umeonyesha kuwa kuwapa wanafunzi mapumziko kunaimarisha afya yao ya akili. Hatua hii pia...

FAUSTINE NGILA: Hatua ya Nigeria kuzima Twitter itaumiza wananchi

Na FAUSTINE NGILA KWA sasa, taifa la Nigeria linajipiga kifua jinsi lilivyozima mtandao wa kijamii wa Twitter wiki iliyopita, serikali...

Malala haoni boriti katika jicho lake ila kwa mwingine

Na CHARLES WASONGA TANGU wiki jana, wanasiasa kutoka maeneo ya Magharibi, Rift Valley na Pwani wamekuwa wakimsuta kiongozi wa ODM Raila...

Mama mpiganaji wa Mau Mau aeleza dhuluma walizopitia

Na SAMMY WAWERU GRACE Njoki Mwangi ni mama mchangamfu na mkarimu, hulka ambazo zitakuvutia unapotangamana naye. Alikuwa miongoni mwa...

Mpira wa vikapu kurejea viwanjani Juni 12-13, ratiba imetangazwa Jumatatu

Na GEOFFREY ANENE SHIRIKISHO la Mpira wa Vikapu (KBF) limetangaza ratiba ya mechi za Ligi Kuu na Ligi za Daraja za Pili za wanaume na...

Corona: Uganda yasitisha kufunguliwa kwa shule

Na MASHIRIKA KAMPALA, Uganda UGANDA imesitisha mpango wa kufunguliwa kwa shule kwa madarasa chini katika shule za msingi kufuatia...

Korti yaagiza wadhifa wa karani wa bunge la Nairobi usalie wazi

Na Collins Omulo PENGO la uongozi litaendelea kushuhudiwa katika Bunge la Kaunti ya Nairobi baada ya mahakama kutoa amri kwamba afisi ya...