• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 9:15 PM

Gereza laeleza kwa nini limemtenga Mackenzie na wafungwa wengine

NA BRIAN OCHARO IDARA ya magereza imekiri kuwa mshukiwa mkuu wa mauaji ya Shakahola, Paul Mackenzie, anatengwa na wafungwa wengine...

Mateso mpaka lini? Sh2.4 bilioni zakosa kuridhisha madaktari kufuta mgomo

ANGELA OKETCH na RICHARD MUNGUTI WAKENYA wataendelea kuteseka kwa muda usiojulikana huku madaktari wakishikilia msimamo wao mkali wa...

Sababu za ODM kuiponda hatua ya maafisa wa KRA, KPLC kupewa kazi chamani UDA

NA WANDERI KAMAU CHAMA cha ODM kimemtaka mwenyekiti wa Bodi ya Halmashauri ya Kukusanya Ushuru Kenya (KRA), Bw Anthony Mwaura, kujiuzulu...

Serikali yachukua maelezo kimya kimya ya wakulima waliouziwa mbolea feki

DAVID MUCHUI na GEORGE MUNENE WAKULIMA walionunua mbolea inayoshukiwa kuwa ghushi kutoka Bodi ya Taifa ya Nafaka na Mazao (NCPB)...

Meneja ashtakiwa kujishindia kazi akitumia vyeti feki na kumumunya mshahara wa Sh1.4m

Na RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA meneja mkuu wa masuala ya kifedha katika shirika la kusambaza umeme la Rural Electrification and Renewable...

NASAHA YA RAMADHANI: Tuombe Mola wetu atusamehe na atusaidie tusirudie makosa yetu

NA ALI HASSAN ASSALLAM Aleykum ndugu yangu muumin wa dini hii tukufu ya Kiislamu. Tumejaaliwa leo hii kukutana tena kwa uwezo wake Allah...

Ajabu kaunti kuwa na afisi za kuhamahama miaka 11 tangu ugatuzi

NA STEPHEN ODUOR ZAIDI ya miaka kumi tangu ugatuzi ulipoanzishwa nchini, utawala wa kaunti ya Tana River bado unahudumia umma katika...

Gachagua amtembelea hospitalini polisi aliyedungwa mishale na washukiwa wa upishi wa chang’aa

Na MWANGI MUIRURI NAIBU wa Rais Rigathi Gachagua mnamo Aprili 2, 2024 alimtembelea Kamanda wa polisi wa kituo cha Juja Bw John Misoi...

Ashtakiwa kwa kujifanya mshauri wa sheria afisi ya Rachael Ruto

NA RICHARD MUNGUTI MWANAUME ameshtakiwa kwa kujifanya mshauri wa masuala ya sheria katika afisi ya mke wa Rais William Ruto, Bi Rachael...

UDA sasa yaona heri ifanye uchaguzi kwa awamu kadhaa

NA JUSTUS OCHIENG CHAMA tawala cha Rais William Ruto, United Democratic Alliance (UDA) kitafanya uchaguzi katika awamu nne kuanzia Aprili...

Washukiwa waliodunga OCS kwa mishale akisaka wapishi wa chang’aa watambuliwa

NA MWANGI MUIRURI  WAKAZI wa kijiji cha Gachororo, Juja ambapo Msimamizi wa Kituo cha Polisi (OCS) alivamiwa mnamo Jumapili usiku,...

OCS wa Juja adungwa mishale na wapishi wa chang’aa 

NA MWANGI MUIRURI  VITA vya Naibu wa Rais, Rigathi Gachagua Mlima Kenya dhidi ya pombe za mauti vimeanza kuwa hatari kwa maafisa wa...