• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 9:15 PM

Walevi kutoka Nyeri wafurika Kirinyaga kukata kiu

NA STEPHEN MUNYIRI MAMIA ya waraibu wa pombe katika eneobunge la Mathira, Kaunti ya Nyeri, sasa wamekimbilia Kaunti ya Kirinyaga baada...

Kindiki atetea polisi kuhusu mauaji ya mlanguzi sugu wa dawa

NA WINNIE ATIENO SERIKALI imekanusha madai kwamba ilihusika katika mauaji ya mlanguzi mkubwa wa dawa za kulevya Swaleh Yusuf Ahmed, ambaye...

Maskwota kulipa kanisa Sh500, 000 wasifurushwe

NA PHILIP MUYANGA MASKWOTA wanaoishi ndani ya ardhi ya ekari 40 inayomilikiwa na kanisa Katoliki mjini Voi, watalazimika kulipa kanisa...

Arushwa jela kwa kosa la wizi wa kimabavu

NA BRIAN OCHARO MSHUKIWA mmoja ametupwa jela miaka mitatu baada ya kupatikana na hatia ya wizi wa kimabavu. Bw Masha Kahindi...

Abiria washerehekea Pasaka ndani ya seli jijini

NA TAIFA RIPOTA WASAFIRI wengi waliadhimisha Pasaka 2024 ndani ya seli za polisi baada ya kukamatwa kwa makosa mbalimbali ya...

Agizo mabawabu sasa walipwe Sh30,000 kutoka Sh7,000

NA WANDERI KAMAU MABAWABU sasa watakuwa wakilipwa Sh30,000 kwenda juu kutoka Sh7,000 kufuatia agizo mpya lililotolewa Mkurugenzi Mkuu wa...

Agizo Betika ilipe Sh500,000 kwa aliyecheza na Sh10

NA JOSEPH OPENDA BETIKA imepoteza rufaa iliyowasilisha mahakamani kupinga kumlipa mcheza kamari David Juma Sh500,000 baada ya ubashiri...

Mjane aliyefurushwa kufuatia mzozo na wake wenza arejea kwa nyumba yake

NA SAMMY KIMATU MAMA mmoja mjane ambaye amekuwa akihangaika kwa miezi minane katika mtaa wa mabanda wa Mukuru-Fuata Nyayo kwa kufungiwa...

Agizo mjukuu wa Moi akamatwe kwa kukwepa vikao

NA JOSEPH OPENDA MAHAKAMA ya Nakuru imetoa kibali cha kukamatwa kwa mjukuu wa aliyekuwa Rais wa pili wa Kenya, Mzee Daniel Toroitich arap...

Vituko na vurumai katika mazishi ya Brian Chira

NA ELIZABETH NGIGI MWIGIZAJI wa TikTok Brian Chira alizikwa Jumanne katika kjiji cha Gitei, Gathanje, Kaunti ya Kiambu katika mazishi...

Mwanamume anayedaiwa kumuua bintiye akamatwa

NA SHABAN MAKOKHA MAAFISA wa polisi katika eneo la Navakholo, Kaunti ya Kakamega, wamemkamata mwanamume mwenye umri wa miaka 32 anayedaiwa...

Chaguo la mambo matatu la Rais laleta afueni sekta ya miwa ikiimarika  

NA BRIAN AMBANI KIWANGO cha sukari inayoagiziwa nchini kimepungua kufuatia kuimarika kwa uzalishaji nchini, huku viwanda vikirejelea...