NA WANDERI KAMAU NAIBU Rais Rigathi Gachagua amegeuka kuwa bingwa wa kukanganya sera na ahadi za utawala mpya, wiki mbili pekee tangu...
NA MARY WANGARI MAAFISA wa polisi jana walikabiliana vikali na viongozi wa Azimio One Kenya waliokuwa wakiandamana kulalamikia hatua ya...
NA LEONARD ONYANGO RAIS William Ruto ameahidi Wakenya kuwa utawala wake hautakuwa wa kidikteta. Rais Ruto aliyekuwa akizungumza jana...
NA ONYANGO K’ONYANGO UHASAMA mkubwa umeibuka kati ya wanasiasa vijana na wale wakongwe ndani ya ODM kuhusu nyadhifa za uongozi, hali...
NA VALENTINE OBARA UCHAGUZI na uteuzi wa wanasiasa wa Kaunti ya Kilifi kwa nyadhifa kubwa bungeni huenda ukabadili pakubwa siasa za Pwani,...
NA SAMMY WAWERU NAIBU Rais Rigathi Gachagua amesema wazi kwamba hana chuki binafsi na Rais mstaafu, Uhuru Kenyatta. Bw Gachagua...
VITALIS KIMUTAI na DAVID MUCHUI KIONGOZI wa Azimio la Umoja-One Kenya, Bw Raila Odinga ametakiwa akome kushambulia Mahakama baada ya...
NA WINNIE ONYANDO KINARA wa ODM, Raila Odinga amewaonya wabunge wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya dhidi ya kuonyesha ubinafsi na...
NA SAMMY WAWERU MUUNGANO wa Kenya Kwanza unaoongozwa na Rais William Ruto umeibuka na wawaniaji wake wa nyadhifa za uongozi...
NA BRIAN OCHARO KESI ya kupinga ushindi wa mbunge wa Nyali Mohamed Ali katika uchaguzi Mkuu wa Agosti 8 imewasilishwa katika mahakama...
NA SAMMY WAWERU NAIBU Rais Rigathi Gachagua amekutana na kinara wa Azimio, Raila Odinga. Leo Ijumaa, Bw Gachagua amepakia picha...
NA SAMMY WAWERU MGOMBEA mwenza wa Raila Odinga wa muungano wa Azimio La Umoja-One Kenya, Martha Karua na kiongozi wa Wiper Kalonzo...