• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 9:15 PM

Magavana waliofaulu Agosti 9 waapishwa kuingia ofisini

NA SAMMY WAWERU MAGAVANA wateule 45 wanaapishwa leo Alhamisi ili kuchukua rasmi hatamu za uongozi wa kaunti, baada ya kuchaguliwa Agosti...

Jeremiah Kioni adai maajenti wa Azimio walifurushwa Mlima Kenya

NA CHARLES WASONGA KATIBU Mkuu wa Jubilee Jeremiah Kioni sasa anadai kuwa maajenti wa mgombea urais wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila...

Gachagua asema ndiye wa kuaminiwa kutetea maslahi ya Mlima Kenya

NA CHARLES WASONGA NAIBU Rais Mteule Rigathi Gachagua Jumatano, Agosti 24, 2022, amesema kuwa yeye ndiye atamrithi Rais Uhuru Kenyatta...

Mbunge ataka korti izuiwe kumtuza Raila

NA JOSEPH WANGUI MBUNGE wa Mugirango Kusini Silvanus Osoro na wapigakura watatu, wamewasilisha kesi kortini wakitaka ufafanuzi wa...

Raila kujipata hali tata korti ikikataa ombi

NA BENSON MATHEKA HUENDA mgombea urais wa muungano wa Azimio Raila Odinga akajipata kwenye hali tata Mahakama ya Upeo ikiamua uchaguzi...

Kivutha Kibwana kushirikiana na Kenya Kwanza

NA SAMMY WAWERU GAVANA wa Makueni anayeondoka Kivutha Kibwana ametangaza kushirikiana na kambi ya Kenya Kwanza. Tangazo hilo...

Rigathi, Karua watofautiana kuhusu ni nani ‘wa kukohoa’ bungeni

NA WANDERI KAMAU JE, ni Azimio ama Kenya Kwanza wenye idadi kubwa ya wabunge katika Bunge la Kitaifa? Kila mrengo unashikilia kuwa ndio...

Ngoma yaanza

NA BENSON MATHEKA KIVUMBI kinatarajiwa kuanza katika Mahakama ya Juu kwa siku kumi na nne zijazo mgombea urais wa muungano wa Azimio la...

Wanga kuapishwa wafanyakazi wa kaunti wakigoma

NA GEORGE ODIWUOR GAVANA mteule wa kaunti ya Homa Bay Gladys Wanga wiki hii ataanza majukumu yake bila huduma kutolewa kwa wakazi. Hii...

Raila yuko tayari kufika kortini

Na CHARLES WASONGA MPASUKO katika Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) ni miongoni mwa masuala ambayo yataangaziwa katika kesi ya...

Hatua ya Ruto kunasa vyama vidogo hatari kwa upinzani

NA CECIL ODONGO HATUA ya Rais Mteule William Ruto kuvutia upande wake wabunge wa kujitegemea na wale wa vyama vilivyo ndani ya muungano...

Shinikizo zazidi kwa Kalonzo ajiunge na Ruto

NA PIUS MAUNDU SHINIKIZO zinaendelea kutolewa kwa Kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka ahame muungano wa Azimio la Umoja na ajiunge na mrengo...