• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 6:55 PM

Raila yuko tayari kufika kortini

Na CHARLES WASONGA MPASUKO katika Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) ni miongoni mwa masuala ambayo yataangaziwa katika kesi ya...

Hatua ya Ruto kunasa vyama vidogo hatari kwa upinzani

NA CECIL ODONGO HATUA ya Rais Mteule William Ruto kuvutia upande wake wabunge wa kujitegemea na wale wa vyama vilivyo ndani ya muungano...

Shinikizo zazidi kwa Kalonzo ajiunge na Ruto

NA PIUS MAUNDU SHINIKIZO zinaendelea kutolewa kwa Kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka ahame muungano wa Azimio la Umoja na ajiunge na mrengo...

Tumepata ushahidi wa kubatilisha ushindi wa Ruto – Mawakili

NA GEORGE MUNENE MAWAKILI wa mgombea urais wa Azimio la Umoja-One Kenya, Raila Odinga wamesema kuwa, wamekusanya ushahidi wa kutosha...

Ushindi wa ODM Kwale kupingwa mahakamani

NA BRIAN OCHARO USHINDI wa Seneta wa Kwale, Boy Issa Juma katika uchaguzi uliokamilika umetiliwa shaka baada ya mpinzani wake, Salim Ali...

Raila kutumia Sh1.5m kuwasilisha kesi dhidi ya Ruto

NA MARY WANGARI ITAMGHARIMU kinara wa Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga, zaidi ya Sh1.5 milioni kuwasilisha kesi ya...

Chebukati motoni kuahirisha kura katika kaunti mbili

VICTOR RABALLA Na SHABAN MAKOKHA VIONGOZI wa eneo la Magharibi mwa Kenya wanamshutumu mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka Nchini...

Tutakupa kazi, Wetangula aambia Uhuru

NA BRIAN OJAMAA KIONGOZI wa chama cha Ford Kenya, Bw Moses Wetangula amemhakikishia Rais anayeondoka Uhuru Kenyatta kuwa, serikali ya...

Rigathi Gachagua sasa ataka Uhuru avunje kimya chake

NA CHARLES WASONGA NAIBU Rais mteule Rigathi Gachagua amemtaka Rais Uhuru Kenyatta kuondoka “mafichoni” na kutoa ujumbe wa heri...

Ruto ikulu katika jaribio la kwanza

NA BENSON MATHEKA NAIBU Rais William Ruto ameweka historia kwa kuwa mwanasiasa wa kwanza nchini Kenya kugombea urais mara ya kwanza na...

Azimio wasisitiza kuwa mapambano yataendelea

NA WINNIE ONYANDO VIONGOZI wa muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya wamesema kuwa wataendelea kupambana hadi watakapopata...

Aliyetumia wilbaro kama jukwaa ni MCA

NA SIAGO CECE TAKRIBAN miezi mitatu iliyopita, Bw Omar Mwaduga alikuwa mkazi wa kawaida kijijini Mshiu, Kaunti ya Kwale, akitafuta kiti...