• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 9:35 PM

KINYANG’ANYIRO 2022: Kaunti ya Siaya

NA KASSIM MWALIMU SIAYA imejulikana kuwa nyumbani kwa watu mashuhuri kama; aliyekuwa makamu wa rais wa kwanza nchini Jaramogi Oginga...

Maeneobunge 5 yaliyo na kura nyingi sasa kivutio kwa wawaniaji

NA ERIC MATARA WANASIASA wanaomezea nyadhifa mbalimbali katika Kaunti ya Nakuru wamekita kambi katika maeneobunge matano yaliyo na idadi...

Wazee kuamua rais wa tano wa Kenya

NA LEONARD ONYANGO WAPIGAKURA wa umri wa miaka 35 na zaidi ndio wataamua mrithi wa Rais Uhuru Kenyatta kwenye Uchaguzi Mkuu wa Agosti...

Karua sasa ajitenga na Uhuru

NA WANDERI KAMAU MGOMBEA-mwenza wa mwaniaji urais wa muungano wa Azimio-One Kenya, Raila Odinga, Bi Martha Karua, Jumatatu alionekana...

Wito waandishi wa habari wamakinike kuelekea uchaguzi mkuu Agosti 9

NA LAWRENCE ONGARO WAANDISHI wa habari wameshauriwa wawe makini hasa wakati huu Kenya inapokaribia kufanya uchaguzi mkuu Agosti 9,...

Jubilee Mlimani waomba Raila msamaha na kuahidi kumpigia debe

NA MWANGI MUIRURI VIONGOZI wa Jubilee kutoka Ukanda wa Mlima Kenya wameahidi kumuuza kikamilifu mwaniaji wa Urais wa Muungano wa Azimio...

KINYANG’ANYIRO 2022: Kaunti ya Homa Bay

NA GEORGE ODIWUOR KAUNTI ya Homa Bay ni miongoni mwa kaunti zinazotarajiwa kushuhudia ushindani mkubwa wa kisiasa, hasa kwenye...

Wafuasi wa Kenya Kwanza, Azimio wazua fujo jiji kuu

NA WANDERI KAMAU KIZAAZAA kilizuka Jumapili jijini Nairobi, baada ya makundi yanayounga mkono miungano ya kisiasa ya Azimio-One Kenya na...

Presha katika ODM kuzuia wafuasi kususia uchaguzi

MAUREEN ONGALA NA WINNIE ATIENO VIONGOZI wa chama cha ODM katika eneo la Pwani, sasa wameanzisha kampeni ya kuhimiza wafuasi wao...

Wawaniaji walilia IEBC wakidai serikali ya Joho inawanyanyasa

NA WINNIE ATIENO WANASIASA wapinzani wa chama cha UDA katika Kaunti ya Mombasa, sasa wanaitaka Tume ya Uchaguzi (IEBC), iingilie kati...

Ruto avuna wafuasi eneo la Magharibi

NA SHABAN MAKOKHA CHAMA cha United Democratic Alliance (UDA) cha Naibu Rais William Ruto kinazidi kujizolea umaarufu katika Kaunti ya...

Sakaja aponyoka, Sonko akihema

NA RICHARD MUNGUTI SENETA wa Nairobi Johnson Sakaja atapumua kwa muda kwa kuruhusiwa kuwania ugavana wa Nairobi. Uamuzi huo umetolewa...