• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 12:32 PM

Wawaniaji walilia IEBC wakidai serikali ya Joho inawanyanyasa

NA WINNIE ATIENO WANASIASA wapinzani wa chama cha UDA katika Kaunti ya Mombasa, sasa wanaitaka Tume ya Uchaguzi (IEBC), iingilie kati...

Ruto avuna wafuasi eneo la Magharibi

NA SHABAN MAKOKHA CHAMA cha United Democratic Alliance (UDA) cha Naibu Rais William Ruto kinazidi kujizolea umaarufu katika Kaunti ya...

Sakaja aponyoka, Sonko akihema

NA RICHARD MUNGUTI SENETA wa Nairobi Johnson Sakaja atapumua kwa muda kwa kuruhusiwa kuwania ugavana wa Nairobi. Uamuzi huo umetolewa...

Kazi kwa Vijana: Kibicho achemkia Ruto, Gachagua

NA MWANGI MUIRURI KATIBU katika Wizara ya Usalama wa Ndani Dkt Karanja Kibicho ameyataja matamshi ya baadhi ya viongozi wa Muungano wa...

Ruto amkaripia Raila kufuatia vurugu zilizotokea Jacaranda

NA CHARLES WASONGA KWA mara nyingine Naibu Rais Dkt William Ruto amemwelekezea lawama mpinzani wake mkuu Raila Odinga kufuatia kisa...

Chama cha UDA chataka Babu Owino azimwe kushiriki uchaguzi wa Agosti 9

NA CHARLES WASONGA CHAMA cha United Democratic Alliance (UDA) sasa kinaitaka Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kuwaadhibu Inspekta...

Vya bwerere ndivyo tegemeo la vigogo

NA BENSON MATHEKA MTINDO wa wanasiasa kuacha azma zao za kugombea viti mbalimbali ili kutegea nyadhifa katika serikali kuu iwapo mirengo...

Kingi hafai kumlaumu Raila, asema Mung’aro

NA WINNIE ATIENO MWANIAJI wa Ugavana wa chama cha ODM kaunti ya Kilifi, Bw Gideon Mung’aro, amemshutumu Gavana Amason Kingi kwa...

Jopo lazima ndoto ya Wanjigi na Aukot

NA RICHARD MUNGUTI MATUMAINI ya wawaniaji wa kiti cha urais Jimi Wanjigi na Dkt Ekuru Aukot kurudishwa katika kinyang'anyiro yamezimwa,...

Matajiri Mlimani wakariri imani yao kwa Raila

NA MWANGI MUIRURI MABWANYENYE wa Mlima Kenya wamekariri kuwa wataendelea kumuunga mkono mgombea urais wa muungano wa Azimio la Umoja-One...

Sakata ya Sakaja yasokota Naibu Rais

NA BENSON MATHEKA SAKATA ya digrii inayomwandama mgombeaji kiti cha ugavana kaunti ya Nairobi, Bw Johnson Sakaja, imeanza kuvuruga...

Kumbe wana doa!

NA WANDERI KAMAU HATUA ya wawaniaji wanne wa urais walioidhinishwa na Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kutoa ahadi za kila aina...