• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 5:46 PM

Msimu wa mapanga waandama kampeni

RUTH MBULA na FRED KIBOR HOFU ya kuzuka kwa ghasia katika uchaguzi imeongezeka nchini baada ya polisi, kwa mara ya pili, kunasa shehena...

Ruto, Raila pabaya kwa kutumia ‘mali ya umma’ kujipigia debe

NA MERCY SIMIYU MASHIRIKA sita ya kijamii yanataka wawaniaji wakuu kwenye uchaguzi wa urais mwezi Agosti wakome kutumia rasilmali za...

Ruto na Raila wapigania miradi ya Rais

NA WAANDISHI WETU MIRADI iliyoanzishwa na Serikali ya Jubilee inayokadiriwa kugharimu takriban Sh1.4 trilioni katika ukanda wa Pwani,...

Tatizo la digrii lawakosesha Samboja na Sakaja usingizi

NA RICHARD MUNGUTI MAPEPO ya digrii yameendelea kuwaandama Gavana Granton Samboja na Seneta wa kaunti ya Nairobi Johnson...

Fataki zalipuka mdahalo wa ugavana ‘001’

NA WINNIE ATIENO WAWANIAJI kiti cha ugavana katika Kaunti ya Mombasa kupitia vyama vya Usawa kwa Wote, Pamoja African Alliance (PAA) na...

Karua aahidi kuyeyusha umaarufu wa Naibu Rais

MWANGI MUIRURI na LEONARD ONYANGO MGOMBEA mwenza wa urais kwa tikiti ya Azimio, Bi Martha Karua ameapa kumaliza umaarufu wa Naibu wa...

Ruto awaahidi kinamama vinono akiunda serikali

NA MARY WANGARI NAIBU wa Rais William Ruto jana Ijumaa aliahidi vinono wanawake katika serikali yake iwapo atashinda urais Agosti...

Raila atuma Karua ngome ya Ruto

NA LEONARD ONYANGO MWANIAJI wa urais wa Azimio la Umoja Raila Odinga ametuma mgombea mwenza wake Martha Karua katika ngome ya mpinzani...

Kesi ya Sonko na IEBC kuhusu idhini ya kuwania ni wiki ijayo

NA PHILIP MUYANGA OMBI la gavana wa zamani wa Nairobi, Bw Mike Sonko, la kupinga uamuzi wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC)...

Mudavadi ahofia kubaki kwa mataa kisiasa baada ya Agosti 9

NA SHABAN MAKOKHA KIONGOZI wa Chama cha Amani National Congress (ANC), Bw Musalia Mudavadi, ameingiwa na hofu ya kujipata kwenye baridi...

Ruto, Raila wahepa marafiki wa karibu

NA LEONARD ONYANGO NAIBU Rais William Ruto na mshindani wake mkuu wa kiti cha urais kwenye Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9, Raila Odinga...

Mung’aro aahidi kuongeza bajeti ya sekta ya elimu akishinda Agosti

NA WINNIE ATIENO MWANIAJI ugavana katika Kaunti ya Kilifi kupitia Chama cha ODM, Bw Gideon Mung’aro, ameahidi kuzingatia sekta ya...