• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 5:55 AM

Naibu Gavana wa Mombasa adai kuhangaishwa na maafisa Kaunti

NA FARHIYA HUSSEIN NAIBU Gavana wa Mombasa, Dkt William Kingi, amedai kuhangaishwa na maafisa wa usalama wa kaunti hiyo. Dkt Kingi...

Gavana Samboja kumenyana na wengine 12 Kaunti

NA KNA TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), imewaidhinisha wagombeaji wote 13 wa ugavana waliotathminiwa Kaunti ya Taita...

Chebukati aahirisha uchapishaji wa sajili ya wapigakura baada ya dosari kadhaa kubainika

Na CHARLES WASONGA TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) sasa imesogeza siku ya kuchapisha sajili ya mwisho ya wapigakura kutoka Juni 9...

Wajackoyah aahidi kuimarisha ufugaji wa nyoka akichaguliwa rais

NA SAMMY WAWERU NITAZINDUA ufugaji wa nyoka nchini endapo nitaibuka mshindi kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao Agosti 9, ameahidi...

Wanawake wajitosa siasa za ngazi ya juu

NA CHARLES WASONGA HISTORIA imeandikishwa katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu baada ya idadi kubwa ya wanawake kuidhinishwa kuwania...

Sonko azidi kusukuma IEBC muda ukiyoyoma

ANTHONY KITIMO NA VALENTINE OBARA HATIMA ya kisiasa ya gavana wa zamani wa Nairobi, Bw Mike Sonko, kuwania ugavana Mombasa, ingali...

Ruto amponda Raila kuhusu mitumba

NA MANASE OTSIALO NAIBU Rais William Ruto amemsuta mgombea urais wa Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga kuhusu uagiziaji...

Maoni yaweka Raila hatua kadhaa mbele ya Ruto

WANDERI KAMAU NA MARY WANGARI MWANIAJI urais wa muungano wa Azimio-One Kenya, Raila Odinga, anaongoza kwa umaarufu uchaguzi mkuu wa...

UDA bado ndio kusema Mlima Kenya – Gachagua

NA KENYA NEWS AGENCY MWANIAJI mwenza wa Kenya Kwanza Rigathi Gachagua (pichani) ameshikilia kuwa muungano huo ungali na uungwaji mkubwa...

Washirika Azimio kumnyima Raila usingizi akipita

NA JUSTUS OCHIENG MGOMBEA urais wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya anakabiliwa na kibarua kigumu cha atakavyowatuza washirika wake...

Raila afafanua jinsi atakavyobadilisha uchumi wa Pwani

NA VALENTINE OBARA CHAMA cha kisiasa cha Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, kimelenga kuleta mabadiliko katika sekta kadha...

Raila aahidi Wakenya vitamu

NA BENSON MATHEKA MGOMBEA urais wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga ameahidi kugeuza Kenya kuwa paradiso akichaguliwa...