• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 5:22 PM

Hatimaye Wajackoyah atakuwa katika debe

NA CHARLES WASONGA HATIMAYE mgombea urais kwa tiketi ya chama cha Roots Party, George Wajackoyah ameidhinishwa kushindania kiti hicho...

Uhuru amalizana na Ruto

NA BENSON MATHEKA UHUSIANO kati ya Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto kwa mara nyingine ulionekana wazi kuwa umezorota ajabu...

Wandani wa Dkt Ruto wamsuta Rais Kenyatta kwa ‘kumdhalilisha’

NA CHARLES WASONGA WANASIASA wanachama wa muungano wa Kenya Kwanza wamemsuta Rais Uhuru Kenyatta kwa kumpuuza naibu wake, Dkt William...

Magavana saba wajishusha bei

NA CHARLES WASONGA MAGAVANA saba wamejishusha hadhi kwa kujitosa ulingoni kuwania nyadhifa za useneta na ubunge katika jitihada zao za...

Wakazi wasema ni unafiki kwa wanasiasa kuzungumzia Bandari

NA FARHIYA HUSSEIN WAKAZI wa Mombasa wakiongozwa na mashirika ya kijamii wamewakashifu wanasiasa kwa kujifanya kujali maslahi yao wakati...

Ruto, Raila sasa ni nipe nikupe Pwani

NA VALENTINE OBARA USHINDANI wa kura za Pwani baina ya Naibu Rais William Ruto na kinara wa ODM Raila Odinga unaelekea kileleni Uchaguzi...

Gavana Nyoro akutana na vijana 4,000 mjini Thika, awaambia waweke mawazo yao kwa Azimio

NA LAWRENCE ONGARO GAVANA wa Kiambu Dkt James Nyoro amewahimiza wapigajikura wa Mlima Kenya waupigie mrengo wa Azimio kura kwa manufaa...

Raila kuzindua manifesto Jumatatu

NA LEONARD ONYANGO MWANIAJI wa Urais wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga atazindua manifesto yake Jumatatu baada ya kuidhinishwa...

Sina uadui na Ruto, asisitiza Mishra huku akiomba kura Kesses

NA TITUS OMINDE MBUNGE wa Kesses Swarup Mishra amesema kuwa hakuna chuki kati yake na Naibu Rais William Ruto hata baada ya kiongozi...

Ruto arudi Taveta baada ya shamba lake kuibua gumzo

LUCY MKANYIKA NA VALENTINE OBARA NAIBU Rais William Ruto, Jumatatu alirudi tena Pwani kwa kampeni zake, siku chache tu baada ya msururu...

Mbinu chafu zatishia uadilifu wa uchaguzi

NA CHARLES WASONGA HUKU kampeni za uchaguzi mkuu wa Agosti 9 zikishika kasi, matumizi ya mbinu chafu za kusaka uungwaji mkono zinaharibu...

Wa Iria azua rabsha Bomas akitaka kibali cha kuwania urais

NA LEONARD ONYANGO GAVANA wa Murang’a Mwangi Wa Iria alizua sarakasi katika ukumbi wa Bomas, Nairobi, akipinga kuachwa nje ya...