NDUBI MOTURI Na CHARLES WASONGA JOPO la kutatua mizozo ndani ya Vyama vya Kisiasa (PPDT) limefutilia mbali mkataba wa kubuni muungano...
PIUS MAUNDU na CHARLES WASONGA KWA mara nyingine, mwenyekti wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) Johnson Muthama, Ijumaa...
NA CHARLES WASONGA WANDANI wa wagombeaji wakuu wa urais Naibu Rais William Ruto na Waziri Mkuu wa zamani Raila Odinga ni miongoni mwa...
NA LEONARD ONYANGO MWANIAJI mwenza wa urais wa Azimio la Umoja-One Kenya, Bi Martha Karua, amekuwa akikwepa kuimiminia sifa serikali ya...
WALTER MENYA na SAMWEL OWINO HUENDA kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoka akaruhusiwa kuwania urais endapo hakutakuwa na agizo la mahakama...
NA LEONARD ONYANGO USIMAMIZI wa Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9, hasa kiti cha urais unatarajiwa kukumbwa na changamoto tele iwapo watu wote...
NA SIAGO CECE SASA ni rasmi kuwa katibu wa idara ya serikali ya urekebishaji tabia, Bi Safina Kwekwe, hatakuwa mgombea mwenza wa aliyekuwa...
NA VALENTINE OBARA ENEOBUNGE la Nyali lina idadi kubwa zaidi ya wagombeaji huru waliojiandikisha kutaka kushiriki katika uchaguzi wa...
NA LAWRENCE ONGARO MBUNGE wa Thika Bw Patrick 'Jungle' Wainaina amemteua Bi Anne Nyokabi Gatheca awe mgombea mwenza wake katika...
NA WANDERI KAMAU IDADI kubwa ya wawaniaji huru wa urais imewafanya kuteua alama za kujitambulisha ambazo baadhi ni za vyama...
NA BENSON MATHEKA VIGOGO wa siasa wanapoendelea kujipanga kwa Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9, Kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoka bado...
NA CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka ni mwanasiasa wa kipekee kutokana na hulka yake ya kubadili misimamo ya kisiasa...