• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 9:50 AM

Mkataba wa Ruto na Muturi wazimwa

NDUBI MOTURI Na CHARLES WASONGA JOPO la kutatua mizozo ndani ya Vyama vya Kisiasa (PPDT) limefutilia mbali mkataba wa kubuni muungano...

Muthama akwepa tena kampeni za Ruto Machakos kwa sababu ya Gavana Mutua

PIUS MAUNDU na CHARLES WASONGA KWA mara nyingine, mwenyekti wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) Johnson Muthama, Ijumaa...

Kundi lataka wandani wa Raila na Ruto wazuiwe kugombea vyeo Agosti 9

NA CHARLES WASONGA WANDANI wa wagombeaji wakuu wa urais Naibu Rais William Ruto na Waziri Mkuu wa zamani Raila Odinga ni miongoni mwa...

Sababu za Karua kukwepa Uhuru

NA LEONARD ONYANGO MWANIAJI mwenza wa urais wa Azimio la Umoja-One Kenya, Bi Martha Karua, amekuwa akikwepa kuimiminia sifa serikali ya...

Huenda IEBC ikamwidhinisha Kalonzo kuwania urais kivyake

WALTER MENYA na SAMWEL OWINO HUENDA kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoka akaruhusiwa kuwania urais endapo hakutakuwa na agizo la mahakama...

Wagombea urais 55 wahatarisha uchaguzi

NA LEONARD ONYANGO USIMAMIZI wa Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9, hasa kiti cha urais unatarajiwa kukumbwa na changamoto tele iwapo watu wote...

Boga sasa abadili mgombea mwenza

NA SIAGO CECE SASA ni rasmi kuwa katibu wa idara ya serikali ya urekebishaji tabia, Bi Safina Kwekwe, hatakuwa mgombea mwenza wa aliyekuwa...

Wawaniaji huru tisa kumkabili ‘Jicho Pevu’

NA VALENTINE OBARA ENEOBUNGE la Nyali lina idadi kubwa zaidi ya wagombeaji huru waliojiandikisha kutaka kushiriki katika uchaguzi wa...

Patrick Jungle na Anne Nyokabi waahidi kuwaletea wakazi wa Kiambu maendeleo ya kweli

NA LAWRENCE ONGARO MBUNGE wa Thika Bw Patrick 'Jungle' Wainaina amemteua Bi Anne Nyokabi Gatheca awe mgombea mwenza wake katika...

Alama za wagombeaji huru wa urais zazua hali ya kukanganya

NA WANDERI KAMAU IDADI kubwa ya wawaniaji huru wa urais imewafanya kuteua alama za kujitambulisha ambazo baadhi ni za vyama...

Kalonzo aonekena kujaa masumbuko

NA BENSON MATHEKA VIGOGO wa siasa wanapoendelea kujipanga kwa Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9, Kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoka bado...

Sifa hasi ya kiongozi asiye na msimamo yaandama Kalonzo

NA CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka ni mwanasiasa wa kipekee kutokana na hulka yake ya kubadili misimamo ya kisiasa...